google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,668
- 13,868
labda kaumia, mnaweza kuyamaliza hata wenyew huko kajifichen kwenu
mkuu, nilisha experience mmoja katika pita pita zangu za hapa na pale.. wapo wengine kweli wana vimashine vidooogo! sasa ukikutana na mandingo TZR inakuwa kazi.. na ukiangalia mtoto wa watu yuko seriously na maumivu mkuu..
btw... wapo pretenders sikatai, yahitaji mvuvi mzuri kutambua samaki wa bahari..
Maandalizi yote muhimu kapata !Arushaone wengine ni wezi tu..anayeumia hata wewe utajua tu anaumia !!!sijafika hata halfway ushaanza vilio huku ngoma inateleza tuuu !!!hii ni daylight robbery
hilo nalo muhimu, maana wengine wanaingia kama wanaingia sebuleni bila hodi, lazma alalamike sababu ameumia kweli
Bulldog naongelea yanayotokea kwenye maisha sijamlenga yeyote !hiyo ni aina tu ya uandishi
Nakufahamu fika najua wewe si kigoli una mtoto tayari sasa kelele za nakuumiza zinatoka wapi ?
Wizi mtupu sina ya punda wala ya ngamia, sijaivesha hata kipini, Nimeingiza hata nusu haijafika waanza kelele naumia naumia
Nikikuhoji unasema hujafanya muda mrefu sana tangu ulipotendwa kwa kumfumania x wako akiwa ma mwanamke mwingine
Jamani punguzeni usanii na wizi wa kitoto tuna fahamu vizuri tu njia ambayo haipitwi mara kwa mara na tunazifahamu ambazo ni Morogoro Rd- Ubungo Kariakoo
Ni kweli shida iko pale bumunda unaliona kabisa limelegea yani break pmb kabisa halafu jitu linakwambia unaliumiza !!!i hate this kwakweli
Akhaaa me ya kwangu tight 2yrs now.
nipe mm hata me 2yrz sahizi siijui papuchi
Mmekutana...!
akupe muende mnakoenda ukute tayar ana watoto bwelele na ni korongo tu halaf urudi jf kusimulia kama mwenzio mshana jr lol ebu kuweni wasiri jaman.
Kwa ufahamu wangu hii kitu ni elastic haimaanishi kwamba mtu akizaa ndio ule ukubwa haurudi katika hali yake ya kawaida...
Noooo maandalizi ndo sababu