Wizi wa flat screen tv pamoja na remote zake imekuwa kitu cha kawaida. Wezi huvunja madirisha usiku na kuiba flat screen na remote zake tu hata kama wakikuta kitu kingine cha thamani hawachukui, wengi tumeibiwa lakini mara ukiripoti polisi utajibiwa kuna kesi nyingine labda ishirini au zaidi za namna yako, je kuna nini nyuma ya pazia?