Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,397
- 10,843
airtel hao... nimewakimbia mapema sanaSimetime waga nashangaa pale ambapo sijawasha data but naletewa sms kuwa nimefikia matumizi ya 75%
airtel hao... nimewakimbia mapema sanaSimetime waga nashangaa pale ambapo sijawasha data but naletewa sms kuwa nimefikia matumizi ya 75%
Simetime waga nashangaa pale ambapo sijawasha data but naletewa sms kuwa nimefikia matumizi ya 75%
Voda hapana kwa kweli...
Nikiwa ndani ya daladala niliweka bundle ili niwe na peruzi wakati wa safari (ni safari ya saa 1 ), ila likaisha kabla hata gari halijaondoka na sikudownload kitu chochote.
Kwenye simu kuna laini mbili, voda na halotel, bando la halotel linakaa zaidi ya voda. Sidhani kama background apps zinachagua zitumie bando la mtandao fulani tu.Hali hii hutokea pindi unapoacha application on zinazokula mb automatic,cha kufanya uwe unaweka on application ambazo unahitaji kutumia tu kwa wakati huo
4G ya Voda inatembea hatariKwenye simu kuna laini mbili, voda na halotel, bando la halotel linakaa zaidi ya voda. Sidhani kama background apps zinachagua zitumie bando la mtandao fulani tu.
yaani jiunge gb 1.3 kidogo tu unaambiwa umetumia 75% ya bandle yakoAirtel ndo majambazi wakuu