Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,149
- 137,116
Mi sina jazba sababu maisha yameninyookea
Sawa, kheri yako basi.
Mi sina jazba sababu maisha yameninyookea
You are an imbecile. Njaa zenu tu hizo ndo maana mnalilia vichenji vya nauli za daladala.
Imbecile indeed that bitch who got you into her womb through her behind.
Ukiambiwaga uhalisia wa maisha yako ya huko unaanza matusi...
Hao wazungu wanaachaga chenji?
Acha dharau inayo kudhalilisha
Easymutant mpenda ligi bila shaka bado "unafollow"! Bingwa bado yupo ulingoni anazichapa. Mpambanaji kweli jamaa yako. Mi nimejiweka pembeni naepusha msongamano wa matusi.Wewe akili yako sijui ina hitilafu gani tu. Huo uhalisia wa maisha yangu watu wameujuaje wakati hawajui hata nilipo?
Utajuaje uhalisia wa maisha ya mtu ilhali hata huyo mtu humjui? Unajua maana ya 'uhalisia' wewe?
Nikikuliiza tu unambie nilipo, ninapoishi, na shughuli ninazofanya utaweza?
Hebu kuwa na akili japo kidogo tu, daaah!!
Wewe hunijui na hujui nipo wapi. Kama unanijua, nakupa rukhsa useme mimi ni nani, ninaishi wapi, na ninafanya shughuli gani. Sema hapa hapa na nitawaomba mods wasifute bandiko lako hata kama ukipatia. Haya uwanja ni wako......
Nadhani wewe ndo umeathirika mno kwa sababu kila wakati unaponifuatilia unaona vitu ambavyo hata havipo. Mtu hunijui lakini unavyojifanya unanijua utadhani ulinizaa wewe.
Na wewe nini kunifuatilia, kujigonga, na kujipendekeza kwangu. Unataka nini wewe? Achana na mimi au mpaka nikuweke kwenye ignore list yangu?
Na mtu kuwa na mtazamo tofauti ni vibaya?
Ngoja niununue huu ugomvi
Easymutant mpenda ligi bila shaka bado "unafollow"! Bingwa bado yupo ulingoni anazichapa. Mpambanaji kweli jamaa yako. Mi nimejiweka pembeni naepusha msongamano wa matusi.
Easymutant mpenda ligi bila shaka bado "unafollow"! Bingwa bado yupo ulingoni anazichapa. Mpambanaji kweli jamaa yako. Mi nimejiweka pembeni naepusha msongamano wa matusi.
njooni mlimani city hakuna hiyo mambo mbaya mbaya.Mbona hata uchumi ya Segerea ujinga ni huohuo! Leo nimecha mia Tatu pale. Yaani mpaka anafunga siku sijui anakuwa amekusanya ngapi!
Wewe akili yako sijui ina hitilafu gani tu. Huo uhalisia wa maisha yangu watu wameujuaje wakati hawajui hata nilipo?
Utajuaje uhalisia wa maisha ya mtu ilhali hata huyo mtu humjui? Unajua maana ya 'uhalisia' wewe?
Nikikuliiza tu unambie nilipo, ninapoishi, na shughuli ninazofanya utaweza?
Hebu kuwa na akili japo kidogo tu, daaah!!
si upo uchumi pugu road?
Ukiniweka kwenye ignore list itanipunguzia nini?
You are not my breadwinner at all!!
Ha ha ha eti najipendekeza kwa lipi? Kwa kipi?
Sikufwatilii wala sijigongi nakupa ukweli wewe siku zote unatoa negative attitudes kwa wenzio...
Unadhani wewe ni wakwanza kufika mbele mpaka uwaambie wenzio wanaumaskini wa kung'ang'ania vichenji vya daladala kana kwamba huko majuu watu hawadai chenji?
Huwa mnajiona wa maana kuliko wenzenu ilhali hamko hivyo ati uniweke kwa ignore list nitakosa kula? Au woga wa kukimbia ukweli?
Hata uishi huko miaka elf na kujikoboa rangi utabaki kuwa mwafrika tu acheni kujifanya mnajua kila kitu..
usimwogope anaishi mabwepande namfahamu.
Mkuu hakuna watu wanaojua kudai haki yao kama wazungu...
Yupo radhi afuatilie hata shilingi hamsini yake ni watu wasiopenda wizi hata kidogo nashangaa huyo mzungu mweusi anavyowatukana wenzie eti masikini wanatafuta nauli za daladala ilhali mzungu haachi hata chenji ya shilingi kumi dukani...
Tumetembea nchi nyingi tunajua maisha ya huko wasijifanye wajuaji kumbe malofa tu....
Mkuu achana na huyo ----, atakusababishia bifu ya bure na mods.
msukuma akijua kingereza hatupumua,jamaa ana matatizo
Mi simfwati huyo maskini naweka mambo wazi ili umma ujue na hilo ni tatizo la diaspora wengi kujifanya wajuaji kumbe wajinga tu...
Halafu anatishia eti kuniweka kwa ignore list hebu ona alivyo na low thinking capacity kwa mtu usiye na msaada wowote kwake unaweza kumtishia Ku mu ignore?
Box limewachanganya wanaleta hasira kwa wengine ...
Siku nyingine wakiwasumbua wa aina hiyo mtuite tuwashikishe adabu...
Mnfssssss!!