Wizi "teller counters" za uchumi - quality center

Wizi "teller counters" za uchumi - quality center

You are an imbecile. Njaa zenu tu hizo ndo maana mnalilia vichenji vya nauli za daladala.



Ukiambiwaga uhalisia wa maisha yako ya huko unaanza matusi...

Hao wazungu wanaachaga chenji?

Acha dharau inayo kudhalilisha
 
Ukiambiwaga uhalisia wa maisha yako ya huko unaanza matusi...

Hao wazungu wanaachaga chenji?

Acha dharau inayo kudhalilisha

Ng'ombe wewe acha kumind vijisenti mbuzi ni kuinvite umaskini tu.
 
Ukiambiwaga uhalisia wa maisha yako ya huko unaanza matusi...

Hao wazungu wanaachaga chenji?

Acha dharau inayo kudhalilisha

Wewe akili yako sijui ina hitilafu gani tu. Huo uhalisia wa maisha yangu watu wameujuaje wakati hawajui hata nilipo?

Utajuaje uhalisia wa maisha ya mtu ilhali hata huyo mtu humjui? Unajua maana ya 'uhalisia' wewe?

Nikikuliiza tu unambie nilipo, ninapoishi, na shughuli ninazofanya utaweza?

Hebu kuwa na akili japo kidogo tu, daaah!!
 
Mtu kaandika point unamjibu kwa jazba na kumkosoa hyo English unayoijua inakutofautisha vipi na binadamu wenzio?

Hakuna jazba hapo. Labda jazba lililopo lipo upande wako tu ndo maana unaona kuna jazba hata pale ambapo hata halipo.
 
Wewe akili yako sijui ina hitilafu gani tu. Huo uhalisia wa maisha yangu watu wameujuaje wakati hawajui hata nilipo?

Utajuaje uhalisia wa maisha ya mtu ilhali hata huyo mtu humjui? Unajua maana ya 'uhalisia' wewe?

Nikikuliiza tu unambie nilipo, ninapoishi, na shughuli ninazofanya utaweza?

Hebu kuwa na akili japo kidogo tu, daaah!!

Unazungumzia watu au Mimi?
Nawezaje kusema upo US kama sikujui?

Umeathiriwa mno na maisha kitu kidogo tu unakua mkali kama nyoka...

We ni kukaripia...kuzodoa...kushushua hivi inasaidia nini?

Mtu kulalamika anadhulumiwa chenji vibaya?
 
Hi ndio tanzania hata ww kunamahali unafanya kisicho sahihi!na hii ni kwasababu ya gumu wa maisha

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Dunia iko katika uweza wa yule movu;Mawakala wake ndio wanamiliki vitega uchumi vyote vya dunia na wanapanga wachukue ngapi kwenye bidhaa na wamwachie ngapi mfanyabiashara. Katika kibano hicho mfanyabiashara naye anabana mishahara na marupurupu na kwa hiyo wafanyakazi wanakuwa dokoadokoa. Katika muktadha huo maajenti wa yule movu wanapindisha fikra za waajiriwa na kuzifanya ziwe zinalenga vijithumni badala ya mabilioni na hivyo kuwafanya maskini wa kutupwa lakini kubwa zaidi kuwatumbukiza katika makosa ya wizi, uongo, nk kwa manufaa ya bwana wao shetani. kukemeana ni bure kwani tatizo liko kwenye levo ya juu sana ambayo inatufanya hata sisi tuliokuja kununua tuwe tumevipata hivyo vijisenti kwa njia hizohizo
 
Unazungumzia watu au Mimi?
Nawezaje kusema upo US kama sikujui?

Wewe hunijui na hujui nipo wapi. Kama unanijua, nakupa rukhsa useme mimi ni nani, ninaishi wapi, na ninafanya shughuli gani. Sema hapa hapa na nitawaomba mods wasifute bandiko lako hata kama ukipatia. Haya uwanja ni wako......

Umeathiriwa mno na maisha kitu kidogo tu unakua mkali kama nyoka...

Nadhani wewe ndo umeathirika mno kwa sababu kila wakati unaponifuatilia unaona vitu ambavyo hata havipo. Mtu hunijui lakini unavyojifanya unanijua utadhani ulinizaa wewe.

We ni kukaripia...kuzodoa...kushushua hivi inasaidia nini?

Na wewe nini kunifuatilia, kujigonga, na kujipendekeza kwangu. Unataka nini wewe? Achana na mimi au mpaka nikuweke kwenye ignore list yangu?

Mtu kulalamika anadhulumiwa chenji vibaya?

Na mtu kuwa na mtazamo tofauti ni vibaya?
 
huh, afadhali mmeliongelea hili suala maana linanikera mimi kama mteja wao. Nimekumbana na hii adha karibu mara tatu, nahisi kuna mchezo wanacheza na wasimamizi wao maana hata ukichukua jojo wanaikatia risiti kuonesha kua haiendi mfukoni kwake.

Nikirudi tena njia ile nitaangalia expire date ya zile jojo isije ikawa ndio zile bidhaa zimebakiza muda mfupi kuharibika sasa wanafanya janja ziuzike kwa mteja chap chap.
 
Back
Top Bottom