Wizi "teller counters" za uchumi - quality center

Wizi "teller counters" za uchumi - quality center

Nyetk

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
1,648
Reaction score
1,701

Kumezuka kamtindo kanakera kweli pale UCHUMI shoping mall ya Quality Center(Barabaa ya Nyerere) sehemu za kulipa bidhaa. Wanapokurudishia chenji wanakwambia huku wanabana pua "samahani chenji ya 'coin' sina". Hii tabia imekuwa ni mazoea yao si teller counter moja wala siyo siku moja. Sijui ni kitu gani kinachowafanya hao mabinti wadhani kuwa chenji ya mteja ni halali yao? Ndo utaratibu wa duka ua njaa ya vibinti hivyo? Kama wanataka kupokea"tips" za wateja si afadhali wakauze baa? Kwa kweli wanakera!


 
Hako kamtindo kapo sana nitaa hiyo. Kuna mmoja aliniambia hana sh. mia tatu. Nilipomkomalia akaitoa. Anyway, labda nilimkomalia kwa sababu alikuwa ni kijana wa kiume. Nahisi angekuwa binti nguvu ya kupambana ingepungua. Siyo tabia nzuri.
 
ni kosa kwenye super makert kubwa kama ile umwambie mteja hamna chenji.
 
Mambo ya bongo vurugu sana, kila kitu ujanja ujanja tu.
 
Huh? Check out lanes zinaitwa "teller counters"?
images
 
Hi ndio tanzania hata ww kunamahali unafanya kisicho sahihi!na hii ni kwasababu ya gumu wa maisha

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
halafu unakuta bidhaa inauza 19,950 ...si waweke tu 20,000

mtu ujue moja....,
may this can help..
ts just a mental stuff . Normally people would think wow! 50 shillings and not the same with a hundred .

Its human mentality and the sellers use that as a tactic

They do this in every part of the world .
 
may this can help..
ts just a mental stuff . Normally people would think wow! 50 shillings and not the same with a hundred .

Its human mentality and the sellers use that as a tactic

They do this in every part of the world .

basi wawe na coin za kutosha kurudisha chenji

manake mda mwingine unalazimishwa kuchukua bublish kisa hakuna coins
 
ni kosa kwenye super makert kubwa kama ile umwambie mteja hamna chenji.

basi wawe na coin za kutosha kurudisha chenji

manake mda mwingine unalazimishwa kuchukua bublish kisa hakuna coins

well said the two of you. Super markets zote ni kama banks. Suala la "chenji hakuna" is absurd and unheard of. After all suala la kutafuta chenji siyo la mteja.
 
Huh? Checkout lanes/ counters zinaitwa "teller counters"?

Whether you call it a checkout counter or any mother----er it never discounts and justifies this infuriating mischief by Uchumi counters staff at Quality Center. The point in this thread is about this mischief anyway.
 
Whether you call it a checkout counter or any mother----er it never discounts and justifies this infuriating mischief by Uchumi counters staff at Quality Center. The point in this thread is about this mischief anyway.

You can't even string together coherent, grammatically, and syntactically correct English let alone synthesize your thoughts into proper lingo!!!!!!!
 
basi wawe na coin za kutosha kurudisha chenji

manake mda mwingine unalazimishwa kuchukua bublish kisa hakuna coins

Hata hiyo haipashwi kuwa hivyo. Nichukue bublish kwa sababu nimeenda kununua bublish, na siyo kwa sababu eti hawana chenji. Hapo ni Shopping mall na siyo kwa machinga yule anayeniuzia kitu pale Ubungo babarani wakati nasubiri taa ya kijani.
 
Back
Top Bottom