Ndugu wana jf,
Mimi ni mteja & nbsp; wa siku nyingi & nbsp;wa vodacom, ila kitu ambacho nimeona wamekuwa wakitangaza vingine na kutekeleza kitu kingine mala nyingi ambacho hunisababishia hasara mala nyingi nisizotarajia.
mfano mala nyingine wanakuambia lipia shilingi kazaa utumie internet bila kikomokwa muda wa siku 30 lakini ukishajiunga unadownload kiasi ghafla utaona mtandao upo slow na badae unaambiwa umetumia mb kadhaa hivyo utaendelea kutumia kwa spidi ya kawaida ambayo hata kudownload haiwezi, pili ukibonyeza *149*01# ukienda kwenye vifurushi vya wiki utakutana na kifurushi cha pili ambacho kinatoa dakika 140, sms bila kikomo na MB kiasi kikubwa tu.
cha ajabu ukisha jiunga tu wanakuletea sms inayoonesha kiwango cha dakika utakazotumia, idadi za sms na kiwango cha MB, ingawa wanatoa sms nyingi lakini siyo bila kikomo kama wanavyotangaza mwanzo.
ndugu mie nawajurisheni wale msiojuwa habari ndiyo hiyo.
kwa hili sijui ni nani wa kutusaidia!
Mimi ni mteja & nbsp; wa siku nyingi & nbsp;wa vodacom, ila kitu ambacho nimeona wamekuwa wakitangaza vingine na kutekeleza kitu kingine mala nyingi ambacho hunisababishia hasara mala nyingi nisizotarajia.
mfano mala nyingine wanakuambia lipia shilingi kazaa utumie internet bila kikomokwa muda wa siku 30 lakini ukishajiunga unadownload kiasi ghafla utaona mtandao upo slow na badae unaambiwa umetumia mb kadhaa hivyo utaendelea kutumia kwa spidi ya kawaida ambayo hata kudownload haiwezi, pili ukibonyeza *149*01# ukienda kwenye vifurushi vya wiki utakutana na kifurushi cha pili ambacho kinatoa dakika 140, sms bila kikomo na MB kiasi kikubwa tu.
cha ajabu ukisha jiunga tu wanakuletea sms inayoonesha kiwango cha dakika utakazotumia, idadi za sms na kiwango cha MB, ingawa wanatoa sms nyingi lakini siyo bila kikomo kama wanavyotangaza mwanzo.
ndugu mie nawajurisheni wale msiojuwa habari ndiyo hiyo.
kwa hili sijui ni nani wa kutusaidia!