Wizi Mpya Waibuka

Wizi Mpya Waibuka

Gaza

Senior Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
102
Reaction score
8
Epuka matapeli,
Kuna aina fulani ya wizi wakutumia simu una rindima hapa nchini.
Mtu ana kupigia simu akijidai ana kufahamu ana kupa dili ya biashara yenye faida kubwa ambayo ita kufanya uingiwe na tamaa mwisho wa siku una ibiwa wewe, hivyo epuka mtu usiemjua kufanya nae biashara yoyote kwa njia ya simu,email,Facebook ama whatsup.
 
Huo wizi upo mbona? Labda huu hapa anajitokeza mtu anaingia sokoni na kukusanya vitu kama mchele kilo 100, sukari kilo 50, maharage, unga, Nyama kilo 50 n.k wakati huo mnaweka kwenye toroli na huku amekusanya kama wanawake 5 kuwa wapishi wa kulipwa. Then anaomba 50 000/= buchani kuwa hesabu wataunganisha. Ukimpa anazuga kuwa anakusanya vingine then baadae anapotea ghafla na ile 50 000/= na kuacha wapishi wake wameshangaa na vitu hapo.
 
ni wizi ambao unazeeka sasa, sanasana wanachokifanya ni kubadili tu tactics lakini basics zao ni zilezile na watu ni walewale
 
Epuka matapeli,
Kuna aina fulani ya wizi wakutumia simu una rindima hapa nchini.
Mtu ana kupigia simu akijidai ana kufahamu ana kupa dili ya biashara yenye faida kubwa ambayo ita kufanya uingiwe na tamaa mwisho wa siku una ibiwa wewe, hivyo epuka mtu usiemjua kufanya nae biashara yoyote kwa njia ya simu,email,Facebook ama whatsup.
wewe ndi utakuwa moya hapa nchini...
 
Wizi hauna xpire date ukiibiwa umeibiwa tuuu....
Haijalishi ni style gani , ya mwaka au karne ipi...

Asante kwa kututahadharisha.
 
Back
Top Bottom