American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 699
- 1,041
Marekani ilitengeneza mashine ya kukamatia wezi, wakaamua kuifanyia test kiufundi.
Mashine ikapelekwa China, baada ya dakika 20 ikakamata wezi 2500. Baada ya hapo ikapelekwa Urusi, ndani ya dakika 10 ikakamata wezi 700, ikapelekwa Nigeria baada ya dakika 30 ikakamata wezi 500.
Ilipopelekwa Tanzania, baada ya dakika 4, mashine ikaibiwa.!
Mashine ikapelekwa China, baada ya dakika 20 ikakamata wezi 2500. Baada ya hapo ikapelekwa Urusi, ndani ya dakika 10 ikakamata wezi 700, ikapelekwa Nigeria baada ya dakika 30 ikakamata wezi 500.
Ilipopelekwa Tanzania, baada ya dakika 4, mashine ikaibiwa.!