Babu Ubwete
Senior Member
- Jan 26, 2008
- 169
- 31
Kuna wimbi kubwa la wizi katika kampuni za mjini Vodacom,Barclays, Stanbic,Tigo etc ambazo nyingi zimeajiri vijana waliosoma walau first degree. Swali kwanini wizi huu umeibuka nyakati hizi kijana kamaliza tu mzumbe au udsm kapewa kazi ya uhasibu unasikia kaiba million 700, kuna mtu baclays kapiga billion 3. Tatizo ni nini?