A
Anonymous
Guest
Kuna tabia mbaya inayofanywa na watumishi wa hospitali za umma.
Wakigundua mgonjwa (hasa wa kulazwa) anatumia cash na yupo kwenye hali mbaya, huwa wanawanunulisha ndugu madawa mengi ambayo mgonjwa hatoyatumia.
Kwa sababu ni ngumu kwa watu kujua, huwa wanalipia dawa nyingi na kuzikabidhi wodini, bila kujua kuwa wanakuwa wamewanunulia wale wahudumu. Je, wahudumu huwa wanazitumia wapi? Wanaziuza?
Hilo linawezekana sana kwa wagonjwa wanaotumia cash. Hawafanyi sana kwa wa bima kwa sababu bima ina wataalamu wa kukagua madeni ya kubambikiza.
Kama una mgonjwa wa kulazwa unatumia cash hospitali za umma kama Amana, jiandae kutumia hela zako kufadhili pharmacy za watumishi wa hospitali.
Wakigundua mgonjwa (hasa wa kulazwa) anatumia cash na yupo kwenye hali mbaya, huwa wanawanunulisha ndugu madawa mengi ambayo mgonjwa hatoyatumia.
Kwa sababu ni ngumu kwa watu kujua, huwa wanalipia dawa nyingi na kuzikabidhi wodini, bila kujua kuwa wanakuwa wamewanunulia wale wahudumu. Je, wahudumu huwa wanazitumia wapi? Wanaziuza?
Hilo linawezekana sana kwa wagonjwa wanaotumia cash. Hawafanyi sana kwa wa bima kwa sababu bima ina wataalamu wa kukagua madeni ya kubambikiza.
Kama una mgonjwa wa kulazwa unatumia cash hospitali za umma kama Amana, jiandae kutumia hela zako kufadhili pharmacy za watumishi wa hospitali.