Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Mkuu mazoba mjini hawatakaa waishe kuna mpango wangu wa kando niliufungulia kibanda cha m-pesa juzi kapigwa za uso mpaka nimeshindwa kumuhurumia
Hahaha mpango wa kando au sio??
Mkuu mazoba mjini hawatakaa waishe kuna mpango wangu wa kando niliufungulia kibanda cha m-pesa juzi kapigwa za uso mpaka nimeshindwa kumuhurumia
Wewe una bahati uliijua game mapema.
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Hahaha mpango wa kando au sio??
Mchepukoh huoHahaha mpango wa kando au sio??
Ndio kiongozi basi akapigwa akitegemea kupata bonus mamame hakuamini macho yake baada ya kupata ile sms ya mwisho iliyomtoa machozi utadhani anakatakata vitunguu maji
Ndio kiongozi basi akapigwa akitegemea kupata bonus mamame hakuamini macho yake baada ya kupata ile sms ya mwisho iliyomtoa machozi utadhani anakatakata vitunguu maji
Kaka afadhali na hao... Mimi katika watu namba moja ambao nawachukia ni waizi wa majumbani na majambazi.Hawa jamaa alafu hawana huruma hata kidogo hata chembeee aiseew yaani mungu ndio anajuwa peke yake kwa jinsi walivyo hawa watu hawafai hata kidogo...naona alisikitika sanaaa.....
Kaka afadhali na hao... Mimi katika watu namba moja ambao nawachukia ni waizi wa majumbani na majambazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hao wakukupigia sim niujinga wako MTU anakwambia ingiza 1 piga OK ,kisha ingiza 5 piga OK,kisha ingiza 2 piga OK unaona kabisa namba 2 nitigo pesa .unapiga OK .inakuja weka namba unaweka namba unapiga OK inakuja weka kiasi unaweka kiasi unapiga OK kisha inakuja weka namba yasiri unaweka unapiga OK inakuja weka 1 kudhibitisha unaweka unapiga OK .sasa hapo huoni kama niutahira huo.Kaka afadhali na hao... Mimi katika watu namba moja ambao nawachukia ni waizi wa majumbani na majambazi.
Hawa wanacheza na akili yako ila wale wa majumbani ni hatari aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo rahisi kushituka maana ukiingia kwenye menu ndo utahisi unapigwa ila ukiendelea mbele huezi jua kabsa maana hizi code 654896452 na 00833,200 siyo rahisi kushitukiaKweli wajinga ndio waliwao ,yani anavokupa maelezo yoote hayo hushtuki tu!!!!
Hapo naomba ufafanuzi. Selcom wanahusikaje hapo. Wafanyakazi wapi wanahusika wa selcom au wa 076,???Wenye hizo namba ulizotaja wamegutuka. Ndio maana wamesitisha mkataba wao na Selcom maana wafanyakazi wao ndio wahusika wakuu kwenye huo wizi. Nadhani kuanzia sasa wizi huo utapungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watu na akili zao wanalizwa.Labda mtu aliyetoka mirembe leo akili hazijamkaa sawa ndio utaweza kumwibia kizembe hivi, au ukamroge kwanza