Wizi katika foleni

Wizi katika foleni

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
527
Wadau za siku tele? Tafadhari kuweni makini mwenzenu juzi nimekwapuliwa simu wakati naongea huku nimeshusha vioo maeneo ya pale bp kulasini.
Nashauri kama unaongea na simu na uko ndani ya gari na haujafunga vioo basi nashauri simu iwe upande tofauti na usukani ulipo ( najua sijaeleweka hapo) mf gari ni left hand basi simu iwe kulia na kinyume chake pia.
They are very tricky maana wanakuwa na pikipiki wamebebana kucheki nani kajisahau, wakiisha point basi mmoja anashuka na kufanya kazi then anakimbia faster kwenye bike nduki au akimbilia bindeni. Take care guys!
 
Pole sana, lakini ni kuwa umekawia kujua ni mchezo wa siku nyingi, si kwenye private cars tu hata kwa usafiri wa public jamaa yangu
 
nimeshaona kama mara mbili watembea kwa miguu wanalizwa, sio kwenye magari tu.
 
Mimi naogopa zaidi wizi wa simu ndani ya gesti. yaani baada ya bao ukiingia bafuni utakapotoka bafuni humkuti dem wala pochi wala simu. mpaka ujifute maji uvae utokenje huwezi kukuta mtu. hii ieshanitokea mara mbili maeneo ya Kijitonyama
 
Mimi naogopa zaidi wizi wa simu ndani ya gesti. yaani baada ya bao ukiingia bafuni utakapotoka bafuni humkuti dem wala pochi wala simu. mpaka ujifute maji uvae utokenje huwezi kukuta mtu. hii ieshanitokea mara mbili maeneo ya Kijitonyama

epuka michepuko baki njia kuu.
 
Wadau za siku tele? Tafadhari kuweni makini mwenzenu juzi nimekwapuliwa simu wakati naongea huku nimeshusha vioo maeneo ya pale bp kulasini.
Nashauri kama unaongea na simu na uko ndani ya gari na haujafunga vioo basi nashauri simu iwe upande tofauti na usukani ulipo ( najua sijaeleweka hapo) mf gari ni left hand basi simu iwe kulia na kinyume chake pia.
They are very tricky maana wanakuwa na pikipiki wamebebana kucheki nani kajisahau, wakiisha point basi mmoja anashuka na kufanya kazi then anakimbia faster kwenye bike nduki au akimbilia bindeni. Take care guys!

Pole sana, na wewe usituibie Kiswahili, tutendee haki.
 
Mimi naogopa zaidi wizi wa simu ndani ya gesti. yaani baada ya bao ukiingia bafuni utakapotoka bafuni humkuti dem wala pochi wala simu. mpaka ujifute maji uvae utokenje huwezi kukuta mtu. hii ieshanitokea mara mbili maeneo ya Kijitonyama



Wizi ni wizi tu hata uwapo nyumbani kwako chukua tahadhari
 
Mimi naogopa zaidi wizi wa simu ndani ya gesti. yaani baada ya bao ukiingia bafuni utakapotoka bafuni humkuti dem wala pochi wala simu. mpaka ujifute maji uvae utokenje huwezi kukuta mtu. hii ieshanitokea mara mbili maeneo ya Kijitonyama

mkuu ukienda na dem gest au hata getho toa funguo mlangoni, weka/ficha/hifadh funguo mbali sana na demu!
 
Loh...mi sijawahi kuibiwa simu huwa naacha bar au napoteza mwenyewe tu heheheh....naambiwa na miwani inakwapuliwa pia...duh
 
wenzio wanaiba mafuta kwenye mitenka ikiwa 40 km/hr sembuse 10km/hr
 
Back
Top Bottom