Hao ma PS wako pale pale, hata zikipungua hawataachishwa kazi hivi hivi
Kupunguza wizara 15 siyo mchezo. Wanaouliza pesa za elimu zitatoka wapi hawakuyajuwa haya. Nadhani tutaheshimiana tuu. Eti kuna watumishi walikuwa hawauhesabu mshahara wanakula posho tuu. Maguuuuuu! Bado Tanesco.[/QUOTtowE]
Mkuu hapo tanesco hawezi kufanya kitu zaidi labda aende wizarani na sio tanesco, tanesco hatoweza kupunguza chochote labda amtimue mtu na kumuweka mwingine lakini sio kupunguza kitu. Tatizo unaloliona tanesco si la tanesco mzizi wa tatizo ni wizarani, tanesco ni kama watolewa kafara tu au wabebeshwa mizigo ya lawama tu
Hapo sawaaa kabisaaa
Nchi hii ilikuwa imeoza, Kikwete hakuwa mbaya hata kidogo, sema washauri wake ndo walikuwa wabaya, mpk tulikuwa na wazir asiyekuwa na wizara maalmu.
Wizara ya Michezo iwe peke yake iwe kama wizara ya fedha, wizara ya maji yaani michezo iwe na wizara ya pekee isichanganywe na vitu vingine kabsa. Hii itasaidia michezo kukua kwa kasi kubwa.
JK kaishamaliza muda wake ungesema Lowassa anajisikiaje.Kikwete anajisikiaje.
Watendaji waliokuwa waajiriwa wa wizara hizo itakuwaje??? Najaribu tu kupiga picha ya kitakachojiri. Mfano mtu aliye Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...sijui atapelekwa Idara ya Habari Maelezo, ama BMT ama Idara ya Utamaduni huko Halmashauri??? Wale wa Mazingira pale kwa Makamu wa Rais nao vipi????
Japo kuna tija katika kuzipunguza ila kwa watumishi walioko katika hizo Wizara nadhani matumbo joto.
Abarikiwe aliyefanikisha ushindi wa Magufuli.
Hata kama ni Lubuva.
Baada ya kujua Elimu yako nimeamua kukupuuza
Hana sifa
Acheni ujinga huu Mwanasiasa waAFRICA usimuapie badae akivurunda mtaona aibu wee shukuru kama anafanya yale tunayotaka lkn kusema mambo kama hayo ni Ujinga
Actually hapo watakaopungua ni Mawaziri na Manaibu waziri. Hao watumishi wengine watabaki hapo kama sekta fulani au watapangiwa kazi nyingine, na salary kama kawaida