R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Mchuano ya Olimpiki bado haijafika mwisho.
Waziri na wizara mmeshidwa nini kufungua banda kwenye michuano ya olimpiki ili kujitangaza ?
Michuano ya Olimpiki ingekuwa rahisi kuwakaribisha kina Beckham , Hussen bolt na kuwaonyesha vivutio kutumia jina la RAISI JK Kwani halishasafisha njia kwa BECKHAM , tatizo nini?
:israel:
Naomba kitengo cha matangazo na soko kiVunjwe wawekwe watu wenye maono ya mbali..
Punguza siasa.
Mfano Nigeria wamefungua NIGERI HOUSE;
Waziri na wizara mmeshidwa nini kufungua banda kwenye michuano ya olimpiki ili kujitangaza ?
Michuano ya Olimpiki ingekuwa rahisi kuwakaribisha kina Beckham , Hussen bolt na kuwaonyesha vivutio kutumia jina la RAISI JK Kwani halishasafisha njia kwa BECKHAM , tatizo nini?
:israel:
Naomba kitengo cha matangazo na soko kiVunjwe wawekwe watu wenye maono ya mbali..
Punguza siasa.
Mfano Nigeria wamefungua NIGERI HOUSE;