Sidhan kama wapo humu,ungewatumia email au kupiga simu kufikisha dukuduku lakoRekebisheni Maandishi kwenye Website yenu mnatia aibuView attachment 1167231
Hii wizara ni changamoto sana. Kuna vyuo kama ukirugulu kipo usagara mwanza kinajiita cha utafiti. Miaka yote hiyo hujui hata wametafiti nini na kinapatikana wapi na kwa faida ya nani.Rekebisheni Maandishi kwenye Website yenu mnatia aibuView attachment 1167231
Dah poor design aisee. Huyo IT huko oficn anafanya nn
Utakuta IT wao ni mzee fulani aliyeshiba itikadi za ccm. Hana ajualo zaidi ya kutumia mabavu. Hana hata muda wa kufanya proof reading.