Samia ili uweze kutimiza malengo ya 2050, inabidi kilimo kiwe cha ki viwandani, itaongeza faida na thamani kwa wakulima, serikali itakusanya Kodi kikamilifu. Wakulima watatuza mazao yao kwa muda mrefu, wataunza nje ya Nchi ✅.
Haiwezekani upambane na lumbesa kwa kuleta magunia Eti yenye vipimo. Raia wanao hifadhi chakula kwenye magunia ni wakimbizi ..
Njia pekee ni kila aina ya mazao yawe na package rahisi/mobile zake, small package.
Mfano sa wanatuuzia 🍎 kwenye zile trays then zinawekwa kwenye small Box. Kama wangekuwa wanaweka kwenye magunia ingekuwa je ?.