Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,699
- 10,795
mlisema kuna ukame nakutakua na njaa, hata miezi sits haijaisha mnaanza tens kulia chakula kingi ,Hujui hata unaongea nini. Kukiwa na ukame watu lazima waseme. Chakula kikizidi kikawa kinaharibika kisha ukazuia watu kuuza nje ni lazima waseme. Kama serekali inataka kuwa na chakula cha kudhibiti njaa nchini wawawezeshe majeshi kama magereza na JWTZ walime hicho chakula cha njaa kwani sasa hivi nchi haipo vitani. Ni rahisi jeshi kupewa matractor na combine havestor wazalishe kwa wingi. Halafu sisi wananchi tunaolima kwa mitaji yetu tuachiwe tuuze tunakojua. Kinyume na hapo ni uonevu wa wazi kwa wakulima.