Msikilize Waziri wa fedha na mipango Dk Philip Mpango akielezea kuhusu wizara yake kujipanga kukabiliana na mihamala shuku inayohusu utakatishaji wa fedha haramu na ufadhili wa ugaidi
Wizara ya fedha na mipango ni kiuongo muhimu katika kupambambana na ufadhili wa ugaidi. Wizara ya fedha na mipango ndio inayofatilia miamala yote yenye shaka katika taasisi zote za kifedha na zisizo za kifedha.
Wizara ya Fedha na Mipango ndiyo inafaa kusimamia hilo, hiko kitengo kilikuwepo BOT, naona ili kukipa nguvu zaidi, kimepelekwa Wizara ya Fedha na Mipango.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.