wewe ni mzazi au ni mhitimu pia, umenichanganya apoJe wenye digrii wakitaka kuomba kufundisha shule ya msingi watakubaliwa? Maana wamejaa huku mitaani wazazi tunapigwa vibomu vya buku buku kila kukicha hadi kero.
wewe ni mzazi au ni mhitimu pia, umenichanganya apo
Je Utakubali Sh. 390,000/= kwa Mwezi? Na Kwenda Kuishi Chimbo huko na Ulishazoea kututukana Jamii Forums utaweza Kukaa Chimbo a Taa ya Chemli hakuna hata Umeme?Je wenye digrii wakitaka kuomba kufundisha shule ya msingi watakubaliwa? Maana wamejaa huku mitaani wazazi tunapigwa vibomu vya buku buku kila kukicha hadi kero.
Kwa hali ilivyo hakuna atakaye kataa hata wakiambiwa wakafanyie somalia na kwa mshahala pungufu wa huo kitaa njaa moto huku,Je Utakubali Sh. 390,000/= kwa Mwezi? Na Kwenda Kuishi Chimbo huko na Ulishazoea kututukana Jamii Forums utaweza Kukaa Chimbo a Taa ya Chemli hakuna hata Umeme?
Watu Wapo Teyari Hata 250000 Kwa MweziJe Utakubali Sh. 390,000/= kwa Mwezi? Na Kwenda Kuishi Chimbo huko na Ulishazoea kututukana Jamii Forums utaweza Kukaa Chimbo a Taa ya Chemli hakuna hata Umeme?
Je Utakubali Sh. 390,000/= kwa Mwezi? Na Kwenda Kuishi Chimbo huko na Ulishazoea kututukana Jamii Forums utaweza Kukaa Chimbo a Taa ya Chemli hakuna hata Umeme?
Je wenye digrii wakitaka kuomba kufundisha shule ya msingi watakubaliwa? Maana wamejaa huku mitaani wazazi tunapigwa vibomu vya buku buku kila kukicha hadi kero.
Ni kweli wakitangaza 15/16 watawapata wengi tu maana hajira zilikoma baada bwana yule kushika atamu ndio maana hata tangazo lao la awali alikupata watu kutokana na kipindi walichokisema,Mkuu
hii ni siasa tu kipindi hicho yaani mwaka 2014/2015 kurudi nyuma walimu wa daraja 3A walikuwa wanaajiriwa.kuanauzekano mkubwa hizo nafasi zikawa wazi tena. Kama wanania kweli ya kuajiri wangetangazo kuanzia 2016/17 kurudi nyuma,
mshaharaKwa hali ilivyo hakuna atakaye kataa hata wakiambiwa wakafanyie somalia na kwa mshahala pungufu wa huo kitaa njaa moto huku,
ajiraNi kweli wakitangaza 15/16 watawapata wengi tu maana hajira zilikoma baada bwana yule kushika atamu ndio maana hata tangazo lao la awali alikupata watu kutokana na kipindi walichokisema,
Mzazi wa Mwendokasi! Ila kwa mwandiko ule ni mhitimu yule!wewe ni mzazi au ni mhitimu pia, umenichanganya apo
Mmh degree hawaanzii hela hiyo! Japo kukaa mbwinde nako noma!Je Utakubali Sh. 390,000/= kwa Mwezi? Na Kwenda Kuishi Chimbo huko na Ulishazoea kututukana Jamii Forums utaweza Kukaa Chimbo a Taa ya Chemli hakuna hata Umeme?