Wizara ya elimu kwa hili hapana

Swala la kuchuja ni kujenga matabaka na kama tunataka elimu ikuwe ni lazima tuwe na equal scale of measurement na hapa ndo mtihani wa form two na form four unafanya kaza
Kuchuja hao wanafunzi

Kuruhusu shule binafsi kuchuja kulingana na wao wanavyotaka ni kuenfeleza tabaka ndani ya elimu,tabaka ambalo zao lake ni kizazi hoyo katika jamii, sio kweli eti private school wakifanya mchujo ndo watapata wanafunzi wazuri hapana,
Jiulize ni mitihani ya uzito gani inatumika katika huu mchujo

Ni wangapi wamefel darasa la saba lakin wakaenda private wakapata nafasi,
Wangapi four form wakafeli lakin private wakapata nafasi

Sio tija ya mchujo huko private.
Mchujo ni chazo cha rushwa kwa walimu wanaenda kusimamia huu mchujo.
Mwalimu huwa naenda kwenye mchujo lakini tayari anamajina ya wanafunzi watakaopita kwenye huo mchujo.

Kwangu mchujo hauna faida yoyote kwa elimu ya tanzania,tuache mitihan ya four two na form four iwapime uelewa wao
 
Kwa asilimia fulani,naweza kukubaliana na wewe,ila nijibu haya;-
1. Serikali imeweka kiwango cha ufaulu kwa form two kuwa wastani wa maksi 30. Nyie shule binafsi mmeweka standard marks ngapi? Huoni kwa kila shule binafsi kujipangia kiwango,ndo mwanzo wa vurugu na uonevu?
2. Hayo madaraja ya ubora wa shule binafsi hupangwa kwa vigezo gani na nani?
3. Kuna utafiti wowote uliofanyika kujustify kuwa wanafunzi waliohitimu katika madaraja ya juu kutoka shule binafsi ndio haohao wanaoperfom vyema serikalini au taasisi nyingine?
1. Ni kati ya 41 mpaka 61

2. Hupangwa na serikali kulingana na matokeo ya kila shule.

3. Kwa kutumia matokeo ya kidato cha Nne na Sita mara nyingi Shule binafsi nyingi hutawala katika nafasi za kumi bora juu na zile za chini hushikwa na shule za Serikali.
 
Swala la kuchuja ni kujenga matabaka na kama tunataka elimu ikuwe ni lazima tuwe na equal scale of measurement na hapa ndo mtihani wa form two na form four unafanya kaza
Kuchuja hao wanafunzi

Kuruhusu shule binafsi kuchuja kulingana na wao wanavyotaka ni kuenfeleza tabaka ndani ya elimu,tabaka ambalo zao lake ni kizazi hoyo katika jamii, sio kweli eti private school wakifanya mchujo ndo watapata wanafunzi wazuri hapana,
Jiulize ni mitihani ya uzito gani inatumika katika huu mchujo

Ni wangapi wamefel darasa la saba lakin wakaenda private wakapata nafasi,
Wangapi four form wakafeli lakin private wakapata nafasi

Sio tija ya mchujo huko private.
Mchujo ni chazo cha rushwa kwa walimu wanaenda kusimamia huu mchujo.
Mwalimu huwa naenda kwenye mchujo lakini tayari anamajina ya wanafunzi watakaopita kwenye huo mchujo.

Kwangu mchujo hauna faida yoyote kwa elimu ya tanzania,tuache mitihan ya four two na form four iwapime uelewa wao
Ndio maana kuna shule ambazo hazichuji. Kama mtu anahitaji equal scale measurement basi ampeleke mwanae kwenye shule ambazo hazina screening.
 
Kwa asilimia fulani,naweza kukubaliana na wewe,ila nijibu haya;-
1. Serikali imeweka kiwango cha ufaulu kwa form two kuwa wastani wa maksi 30. Nyie shule binafsi mmeweka standard marks ngapi? Huoni kwa kila shule binafsi kujipangia kiwango,ndo mwanzo wa vurugu na uonevu?
2. Hayo madaraja ya ubora wa shule binafsi hupangwa kwa vigezo gani na nani?
3. Kuna utafiti wowote uliofanyika kujustify kuwa wanafunzi waliohitimu katika madaraja ya juu kutoka shule binafsi ndio haohao wanaoperfom vyema serikalini au taasisi nyingine?

Unajaribu kuhalalisha uovu kwa wema. Hongera!
 
Hata LOAN BOARD huchuja wanafunzi kulingana na ufaulu wao. Huyu Ndalichangu ni shida nyingine hapa mjini. Kila kitu anawaza kuharibu tu utadhani mtanzania wa kupikwa.
 
1. Ni kati ya 41 mpaka 61

2. Hupangwa na serikali kulingana na matokeo ya kila shule.

3. Kwa kutumia matokeo ya kidato cha Nne na Sita mara nyingi Shule binafsi nyingi hutawala katika nafasi za kumi bora juu na zile za chini hushikwa na shule za Serikali.
Na 1 &2 niwekee ushahidi. Na 3,haikuwa hoja yangu. Japo nashukuru kwa taarifa.
 
Hapo utakuta mtoto wa mkubwa alitaka kuingia st Francis masista wakabana shauri ya uwezo wake mdogo..na wale awajali ni mtoto wa mweshimiwa nan akichemka ni him..sasa aibu kwa mzaz
 
Ndio maana kuna shule ambazo hazichuji. Kama mtu anahitaji equal scale measurement basi ampeleke mwanae kwenye shule ambazo hazina screening.
Kwa nini hakuna uniformity, huoni kama ni tatizo? Kama mtaala ni mmoja kwa nini screening na awarding systems ziwe tofauti?
 
Hapo utakuta mtoto wa mkubwa alitaka kuingia st Francis masista wakabana shauri ya uwezo wake mdogo..na wale awajali ni mtoto wa mweshimiwa nan akichemka ni him..sasa aibu kwa mzaz
Bado kuna wakubwa katika awamu hii ya tano?
 
Kwa nini hakuna uniformity, huoni kama ni tatizo? Kama mtaala ni mmoja kwa nini screening na awarding systems ziwe tofauti?
Uniformity ipo kwenye ufundishaji, ila screening na awards ni lazima iwepo kwa wenye juhudi na nia ya kusoma. Bila hivyo walimu watafundisha na watoto hawatafaulu.

Hata mtihani wa Kidato cha Pili uliwekwa baada ya kuonekana wanafunzi wengi hawaweki juhudi katika masomo.
 
Na 1 &2 niwekee ushahidi. Na 3,haikuwa hoja yangu. Japo nashukuru kwa taarifa.
1. Chukua fomu ya shule yoyote binafsi ambayo mwaka jana ilikuwa TOP TEN halafu angalia moja ya masharti yake.

2. Angalia rank ya shule 10 bora.
 
mimi nafikiria badala ya kuhangaika kufuta michujo ktk shule binafsi wangehangaika kuboresha shule za serikali. shule za serikali zikiwa bora zitaimarisha elimu kwa watu wengi kwani watoto wengi wanasoma shule hizo
 
Back
Top Bottom