FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
Nimekuwa najitahidi sana kufuatilia habari hizi za wizi wa mitihani ya std vii,ni kweli kuna wanafunzi wamefutiwa matokeo yao na pia kuna taarifa kuwa watapata nafasi ya kurudia mitihani.
NAOMBA MWENYE TAARIFA HIZI ATUJUZE HAPA JUKWAANI.SWALI LANGU LA MSINGI NI KWAMBA,HADI HIVI SASA
NAWASILISHA.
NAOMBA MWENYE TAARIFA HIZI ATUJUZE HAPA JUKWAANI.SWALI LANGU LA MSINGI NI KWAMBA,HADI HIVI SASA
- NI MAOFISA WANGAPI WALIOHUSIKA NA KASHFA HIYO WAMETAMBULIKA?(Wakuu wa shule,askari waliokuwa wakilinda mitihani,Maderva waliosafirisha,wasimamizi wa mitihani nk)
- JE WANGAPI WAMEWAJIBISHWA ANGALAU KWA KUSIMAMISHWA KAZI?
- WANGAPI WAMEPEWA ONYO.
- NA NINI KINAENDELEA KUFANYIKA ILI KUHAKIKISHA KASHFA HII INAKUWA HISTORIA?
NAWASILISHA.