Wizara ya Ardhi

Wizara ya Ardhi

Xidian

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
503
Reaction score
149
Naomba kila mtu atupie neno moja tu linatosha!
 
Ninapendekezo kuwa na makampuni binafisi ya kufanya shughuli zote zinazofanywa na wizara hii, maana mwenendo wake hauridhishi kabisa
 
Iwe kama makampuni ya simu na TTCL, hii ndiyo itakuwa mwarobaini
 
Tibaijuka unafanya nini?
 
Yaani kweli mtu unapeleka kazzi yako sasa miezi kadhaa hakuna hata lolote la kueleweka?? Jamani tz tunskwenda wapi? Inauma sana
 
Hii wizara haifai kabisa....hovyoooòoooooooooooooo
 
Jamani kama kuna mtu anajua jinsi ya kupata msaada pale ardhi anisaidie . Kwa sasa niko tayari hata kwa rushwa maana inachosha......pls PM me kwa msaada wowote
 
Tibaijuka unafanya nini?

Tibaijuka aliwapa siku thelasini wahindi wavunje jengo lililojengwa chini ya kiwango. Sijui alipewa nini jengo mpaka leo lipo. Leo Tibaijuka ametoa amri fisadi wa kapunga arudishe kwa wakulima wa Mby kijisehemu cha kapunga rice farm. wahindi walimcheka tu. huyu mama si mziho tu bali ni uozo wa ccm. Hizi kura watu wa ccm mnazipataje ¿¿¿¿¿¿
 
Kama haiwezekani kumbadirsha, basi tunaomba wizara ivunjwe
 
Tibaijuka , je unajua kuwa kuna uozo mkubwa kwenye wizara yako??? Je umechukua mikakati gani kuhakikisha unaitatua?? Nadhani katika wizara zote hii ndiyo imeoza
 
Haiwezekani malalamiko yote ni wizara hii tu, hapana...lazima basi ifikie wakati tuseme inatosha
 
Kama haiwezekani kumbadirsha, basi tunaomba wizara ivunjwe

Unajua kule nyumbani ccm walimbwaga Kamanda Tibaigana wakampitisha mama. matokea yake hata kufukuza nzi hawezi achilia mbali kufuta bovu la bia kwenye glasi
 
Maafisa wa pale wote ni mguu ndani mguu nje? Kama wafanyakazi ndio wanaokuangusha kwa nini usiwafukuze? Kwa nini usiajiri wengine mbadala? Au wewe umeridhika kabisa na utendaji wa wizara yako?? Watanzania wanataKa majibu, lasivyo ni bora tu uachie ngazi
 
Unafika ofisini wanakwambia oooh furani amesafiri sasa wiki tatu, jamani watu wakisafiri au wakiwa likizo ndio ofisi zao zinafungwa?? Huu ndio utawala bora kweli? Hakunawanao kaimu nafasi zao?
 
Katibu mkuu ukiwa kama mtendaji mkuu, hivi hili hulioni kweli?? Au mnataka wananchi hadi tuandamane ndio mtuelewe???
 
Yule mama alinifundisha mlimani enzi hizo. kwa kweli mama nadharia au kutoa lecture ni mkali. tatizo vitendo
 
Yule mama alinifundisha mlimani enzi hizo. kwa kweli mama nadharia au kutoa lecture ni mkali. tatizo vitendo

Watu kwa sasa wanahitaji delivery na sio porojo, she might be good at speech but when there is no action its a futile work
 
Back
Top Bottom