peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,168
Sitaki kuamini huyu mama naye ni mzigo, au watendaji wake ndio mizigo
huyu bibi kazi imemshinda kinyume na mategemeo ya wengi, arudi akachome ndizi nyumbani.
Sitaki kuamini huyu mama naye ni mzigo, au watendaji wake ndio mizigo
Mkuu nimekupata sana. Unaonekana kujua uozo wote wa wizara hii. Ur suggestion is very paramount. Lkn kwanini hizi shughuli zisibinafisihwe tu kwa makampuni binafisi? Naamini kuna asasi binafsi zinaweza kufanya hizo kazi kwa ufanisi zaidi with maximum output
A la Netgroup Solutions? In that case we need to bring back Mh. Nkapa.....in any case it looks like CCM will be short of candidates come 2015!
Wizara ya Ardhi ilishindikana toka zamani. EL aliishindwa. Pamoja na mageuzi na jitihada zote, Pombe Magufuli hakufua dafu! Imagine kwenye lango kuu pale kuna akina mama na Laptop kila mmoja, eti kazi yao ni kuandika kila aingiaye ndani ya jengo. Wanafanya hivyo bila verification yoyote ya majina wanayotajiwa au sehemu/idara waendapo. Total wastage of money and human resource. Tatizo kubwa la Wizara hiyo ni BMW. Kila kiongozi anaye mtoto, ndugu, mjomba nk ndani ya wizara. Kazi ni kulindana! As for the Honourable Minister, no issue is small or straightforward. Once it gets to her desk, it will be donkey years before it is resolved; often times after relentless meaningless or irrelevant queries. SOLUTION? Establish an independent commission to verify its systems and procedures with a view to streamlining them. The commission should also VET ALL EMPLOYEES......na kupeleleza ukwasi wao wa fedha, mali na viwanja! Someone recently told me that one out of every three undeveloped plot in Mbezi, Mtoni Mtongani, Salasala and even Boko, belongs to an official of the lands ministry....under a false name, of course!
Mi siamini kama ni sahihi kulaumu wizara nzima kuwa imeoza,mtoa mada unatakiwa uwe specific kazi yako imekwamia wapi,na tatizo ni nini,na we umechukua hatua gani.Sikatai inawezekana Kuna baadhi ya watumishi wana mapungufu,na wizara imelitambua hill kwa kuweka kitengo/ofisi ya kupokea na kushughulikia malalamiko,ipo ghorofa ya sita,je mleta mada alishatoa malalamiko yake?pia,Kuna ngazi za kiutawala,alishaenda kulalamika?
Mi siamini kama ni sahihi kulaumu wizara nzima kuwa imeoza,mtoa mada unatakiwa uwe specific kazi yako imekwamia wapi,na tatizo ni nini,na we umechukua hatua gani.Sikatai inawezekana Kuna baadhi ya watumishi wana mapungufu,na wizara imelitambua hill kwa kuweka kitengo/ofisi ya kupokea na kushughulikia malalamiko,ipo ghorofa ya sita,je mleta mada alishatoa malalamiko yake?pia,Kuna ngazi za kiutawala,alishaenda kulalamika?