Wizara ya Afya wanazingua matangazo yao...

Wizara ya Afya wanazingua matangazo yao...

JayKisoti

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Yaani kwenye Internet inaonyesha dhahiri shahiri kwamba watu wanaruhusiwa kupeleka maombi ya kazi, hadi deadline wameweka kwenye website ya zoom na ya kwao... cha kushangaza nafika wizarani naambiwa hakuna kitu kama hicho, yaani bado saaana mpaka wabandike kwenye ubao wa matangazo kwamba wanahitaji watu, daaaah yaani nilichoka...namshukuru Mungu aliyenipa nguvu ya kusimama imara katika hili duuuuuh!
 
hilo ni tatizo la watu waliokosa weredi kuweka sehemu kama hizo usitupe lawama moja kwa moja kwa wizara
 
Back
Top Bottom