prince hall
Member
- May 20, 2018
- 17
- 34
Tarehe 10 mwezi huu tulitegemea kupata malipo yetu ya mwezi uliopita lakini mpaka leo tarehe 20 bado hatujapata chochote, naomba mtukumbuke pia kwa sababu sisi ndio tupo karibu zaidi na wagonjwa na tuna majukumu zaidi katika kutoa huduma sababu tupo Frontline.
Interns doctor, lab na pharmacist, tunaomba tulipwe kwa sababu tuna mahitaji pia,kama pesa hakuna Basi tupewe taarifa kuliko kukaa kimya ,
California love
Interns doctor, lab na pharmacist, tunaomba tulipwe kwa sababu tuna mahitaji pia,kama pesa hakuna Basi tupewe taarifa kuliko kukaa kimya ,
California love
?