Ndugu zangu; kupanga ni kuchagua,
Nina imani na Ummy mwalimu atalifikisha hili kwenye cabinet!
angalieni uwezekano Wa kufuta gharama zote za
maiti kutoka katika hospitali za serikali! zikiwemo gharama za matibabu na huduma za mochwari!
Tuangalie namna nyingine ya kufidia pesa hizo!
Kama ELIMU Bure imewezekana sidhani kama hili litashindikana.
Zipo familia zinauguza kwa kuuza kila kitu hadi senti ya mwisho, bado mgonjwa anapofariki hupata wakati mgumu sana kukomboa maiti zao!
Viongozi Tuna dhamana ya kuwafariji wananchi hawa kwa kuwaondolea gharama!
UKISHINDWA KUTOA HUDUMA BORA BASI TOA JAPO HURUMA BORA!!!
Updates
Waziri wa Afya UMMY MWALIM leo Feb 14/2020; katoa maelezekezo hosp wasizuie maiti, watafte mbinu nyingine ya kudai pesa zao!
Note; Ni vyema kauli hii ili isipuuzwe na watendaji ingependeza kwa katibu mkuu wizara afya apeleke maelekezo hayo kwa maandishi hospitalini vinginevyo hayatatekelezwa kama hospitali hazitapokea order na mwongozo wa namna ya kufuta deni hilo! Maana watendaji wataogopa kuambiwa wamependelea au wamekula pesa
MAONI YANGU KAMA HAWAWEZI KUFUTA KABISA BASI WAFANYE HIVI
Kama wameshindwa kabisa kulifuta deni hilo! Basi hosipitali kupitia kitengo cha malipo ambapo kuna wakala wa bank ya NMB na CRDB; Kuwekwe utaratibu rahisi wa benki hizo kumlipia maiti kwa mkopo wa haraka (Instant mortuary loan)
kuwepo na fomu maalum inayotakiwa kujazwa na wadhamini /ndugu wa maiti, wakiambatanisha vitambulisho na barua toka serikali ya mtaa wanakoishi iwatambue ili waahidi ni lini pesa ile italipwa kwenye mabenki hayo bila riba ( faida ya mabenki itoke kwenye hospitali kwa wao kulipia kwa punguzo la asilimia 20% ya deni ili wao kama benki watakapokuwa wanadai mdhamini atawalipa pesa yote waliyodaiwa hospitali)!!
WANAWEZA KUBORESHA KAMA ITAWAFAA
AKSANTE
Nina imani na Ummy mwalimu atalifikisha hili kwenye cabinet!
angalieni uwezekano Wa kufuta gharama zote za
maiti kutoka katika hospitali za serikali! zikiwemo gharama za matibabu na huduma za mochwari!
Tuangalie namna nyingine ya kufidia pesa hizo!
Kama ELIMU Bure imewezekana sidhani kama hili litashindikana.
Zipo familia zinauguza kwa kuuza kila kitu hadi senti ya mwisho, bado mgonjwa anapofariki hupata wakati mgumu sana kukomboa maiti zao!
Viongozi Tuna dhamana ya kuwafariji wananchi hawa kwa kuwaondolea gharama!
UKISHINDWA KUTOA HUDUMA BORA BASI TOA JAPO HURUMA BORA!!!
Updates
Waziri wa Afya UMMY MWALIM leo Feb 14/2020; katoa maelezekezo hosp wasizuie maiti, watafte mbinu nyingine ya kudai pesa zao!
Note; Ni vyema kauli hii ili isipuuzwe na watendaji ingependeza kwa katibu mkuu wizara afya apeleke maelekezo hayo kwa maandishi hospitalini vinginevyo hayatatekelezwa kama hospitali hazitapokea order na mwongozo wa namna ya kufuta deni hilo! Maana watendaji wataogopa kuambiwa wamependelea au wamekula pesa
MAONI YANGU KAMA HAWAWEZI KUFUTA KABISA BASI WAFANYE HIVI
Kama wameshindwa kabisa kulifuta deni hilo! Basi hosipitali kupitia kitengo cha malipo ambapo kuna wakala wa bank ya NMB na CRDB; Kuwekwe utaratibu rahisi wa benki hizo kumlipia maiti kwa mkopo wa haraka (Instant mortuary loan)
kuwepo na fomu maalum inayotakiwa kujazwa na wadhamini /ndugu wa maiti, wakiambatanisha vitambulisho na barua toka serikali ya mtaa wanakoishi iwatambue ili waahidi ni lini pesa ile italipwa kwenye mabenki hayo bila riba ( faida ya mabenki itoke kwenye hospitali kwa wao kulipia kwa punguzo la asilimia 20% ya deni ili wao kama benki watakapokuwa wanadai mdhamini atawalipa pesa yote waliyodaiwa hospitali)!!
WANAWEZA KUBORESHA KAMA ITAWAFAA
AKSANTE