christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,486
- 3,877
Kwani batakoa
Embu tujiulize muda wote tumekuwa tukiishi bila kuvaa barakoa haps Tz situngeshakwisha kama kweli corona inazuilika kwa barakoa.
Kwani barakoa ni kinga ya corona au ni kujifariji tu. Kwa hali inayoendelea huko India ni dgairi corona mpaka sasa haina kinga, ni Mungu tu ataepushe na atusaidie kupata kinga au dawa sahihi lakini hili la barakoa wala si kitu.Corona ipo na hamna cha lockdown. Na hao walioagizwa kuvaa barakoa watavaa kwa lazima. Naona unalazimisha lockdown ili dhalimu aonekane alikuwa mtu mzuri kwa kutokuweka lockdown.
Embu tujiulize muda wote tumekuwa tukiishi bila kuvaa barakoa haps Tz situngeshakwisha kama kweli corona inazuilika kwa barakoa.