Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Last edited by a moderator:
tena Extraordinary...
Mkuu namna ya kufika huko ndio kazi. Kuna wakati nahisi huyu mwanamke atanichoka kabisa anikimbie
Weka picha tuamini kama huna wivu.
Sina cha kufanya, nimemuelewesha nimechoka, angekuwa just boyfriend ningekuwa nshaondoka, ila ni mchumba wangu so kuachana ni process...!
Ila inakera, sina uhuru, nalazimika kuwa muongo ili mambo yaende, kwa kifupi sina raha....imagine mtu ana password zangu kuanzia ya email, fb, atm card, anakagua phonebook mpaka call logs achilia mbali sms......Inachoshaaa!
Mkuu namna ya kufika huko ndio kazi. Kuna wakati nahisi huyu mwanamke atanichoka kabisa anikimbie
Kisa cha kunitemesha mate?temea mate chini, mbona utakonda kama huli! Na itafika muda utanyoosha mikono mwenyewe
Wivu nlikuwa nao ila baada ya kutendwa sijali tena. No wivu anymore.
Mi napenda mtu mwenye wivu....
Aaah kuna raha bana asikuambie mtu
napendaga zaidi ile napigiwa simu "upo wapi? Rudi nyumbani upesi"
nawaacha mashost konyagi mezani huyoooo nduki nyumbani.
umeona eeeh!! Evelyn Salt.......yani raha sana hata miye huwa naenjoy vibaya yani natamani kila saa niulizwe ulizwe tu
umeona eeeh!! Evelyn Salt.......yani raha sana hata miye huwa naenjoy vibaya yani natamani kila saa niulizwe ulizwe tu