mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 267
Mh usije ukawa viungo vimezidi kunako mwambie apunguze manuizi ikishindikana muombe mungu utakufa bure
Mi napenda mtu mwenye wivu....
Ngoja na mimi ntafute wa hiviiYani raha yake naijua mie tu...
mi napenda mwanaume mwenye wivu,anilinde na kunijali hivyo,sema wewe hauna wivu wewe hujiamini unahisi kwamba haustahili kuwa na hicho kifaa,kwa nini??? i had the same situation kama wewe kwa kaka flani niliishia kumkera na chupuchupu tuachane nikajitathmini na kuona kwamba mimi ni mrembo,mzuri,na nina stahili kuwa na mwanaume mtanashati,mpole na msikivu kama yeye,so na wewe ji evaluate na sema nilivyo hivi nina stahili kuwa na huyu mwanamke practiz hivyo utakuja kuzoea na atapata uhuru wake,again huna wivu ni kwamba HUJIAMINI
Lol! Hapa ndio nachoka sasa au labda anpenda hiyo hali...lkn hapana
Ukimwambia unatoka roho yake juu kama Airforce 1He he he, na mie napenda anayekaba hadi penati.
mi nahisi huyo mpenzi wako atakua na tiba halisi,mtafute sehemu tulivu mwende mkae mkumbushane good times ununue na zawad,afu mwambie hili tatizo kwa namna ulivyosema hapa !you will solve this problem together!
Punguza, utampoteza.
Hasa hiyo ya kumfuata akiwa out na marafiki zake, unamuaibisha sana, basi tu hana la kufanya.
Niliwahi fanya kazi mahali, kuna mafanyakazi tena alikuwa na cheo, mkewe alikuwa anamfuata ofisini, alikuwa naona aibu sana anajikaza tu. Unamfanya awe topik kwa marafiki zake, na hakuna mtu anayependa hilo.
Wee kaa naye uongee naye, muone kama kuna jinsi anaweza kukusaidia kwelye hili.
Kistroke kinakutamani sema hujaingia kwenye 18 zake!
Meku onea wivu pesa, bila kumungunya maneno huzungushi gurumu la ujenzi wa taifa vizuri, una muda mwingi wa kupoteza ama demu uliomuoa ni class ya juu ndo maana hujiamini.
Habari wana MMU,
Wakuu hebu naombeni mawazo namna ya kupunguza kuwa na wivu, seriously nimechoka na nahisi hili ni tatizo kubwa si kwangu tu bali hata kwa mpenz wangu. Hajawah kuniambia moja kwa moja but I can feel it namnyima furaha sana.
Natamani ajiskie namuamini sana, tatizo linakuja kila ninapojaribu hata kumuacha tu atoke na wafanyakazi wenzake kwa jinsi nitakavyoteseka kwa hayo masaa machache anaweza kunikuta nishakufa kabisa hivyo huwa naona bora nisogee tu hilo eneo hata nimuone kwa mbali. Kuna siku nlikuwa nae kwenye gari ghafla ule wimbo wa 'Kuchapiwa ni siri ya ndani' ukapigwa redioni yani kile kitendo cha yeye kuufatiza tu ule wimbo nikajikuta nimegonga gari iliyokuwa mbele yangu kwa mshtuko.
Analijua tatizo langu na anajitahidi sana kuishi ninavyotaka na najua ananivumila sana, amepunguza sana marafiki kwa ajili yangu, hata kwenye groups hz za wasap kajitoa, fb ndio hata ile app tu kwenye sim yake haipo tena na hata akitaka kuingia anaingia kwa sim yangu.
Kilichonifanya nije kwenu ni baada jana usiku kumgombeza kwa kupigiwa simu na mwanaume akimtakia usiku mwema ilikuwa sa tatu tu usiku, hata sijui ilikuwaje lkn nikajikuta nishaanza kulalama, alisema sorry na kisha akampigia sim huyo jamaa na kumwambia asirudie tena kumpigia simu usiku.
Nimejiskia vibaya sana baada ya yeye kufanya hivyo, japokuwa bado naonyesha ukauzu bt deep inside nimenyong'onyea mbaya kabisa. Najiona mwanaume nisie na shukrani kabisa.
I really want to change nipunguze tu kidogo nibakie na kale ka wivu ka kumuonyesha najali, tatizo sijui cha kufanya pia sijui ntawezaje.
Please wana MMU nisaidien mawazo mrudishe furaha ya mrembo wa watu na amani ya moyo wangu. Nimeeleza kwa kirefu ili at least muone ukubwa wa tatizo, michango ya aina zote inakaribishwa.
Kila nikiwaza hilo la kumpoteza kizembe namna hii ndio nachoka kabisa. Si kwamba namuabisha tu ila kuna wakati najiona najiabisha mwenyewe ila nikizidiwa naenda tu naona bora niaibike ila nibaki hai kuliko anikute nshatokwa mipovu ya presha, lol!!
Upo kama mimiii lol lakin ukizidi ni majangaaaa
Inaonekana wewe una dhakari ndogo harafu unamaliza kazi kama kuku vile wasiwasi wako akipata mtu mwenye mpini ulioshiba atakuacha inatakiwa upige kitu mpaka anamaliza wiki hana hamu na mwanaume ni mtazamo wangu tu.
Funguka kidogo umezidi sana kutumia tasfida mpka hata sipati picha unataka kujua nn!!??