Wivu unanimaliza!

Wivu unanimaliza!

Ahhahah...ukiona ivo ujue humuamin.....km alishakionnyesha dall za kucheat thts y...ila kama hajaonyesha labda shez super cute unawaza kuibiwa wkt wwte...poleed
 
Zorrander wewe ni muumini wa kumcheat mkeo?


nauliza kwa kuwa inasemekana wale walio na wivu wa kupindukia kwa wenzi wao mara nyingi wao ni waumini wa cheating tena ile extreme cheating na kwa hiyo wanahisi kama wanavyocheat na wenzi wao wanacheat hivyo hivyo na hivyo kuwa over defensive kwa mawivu,kama wewe ni muumini mzuri wa cheating basi uache kwani unavyoumia wewe kwa wivu huo ndivyo mkeo atakavyokuja kuumia ukimcheat na pia wivu ukizidi si mzuri kwani unasababisha kutoaminiana na pia kukosa raha kwa mtu mwenye kuonewa wivu kupindukia japo wivu wa kadri ni mzuri kwa wapendanao.



ikiwa wewe si muumini wa cheating ila umejikuta tu una wivu uliopitiliza jaribu haya:


1.jiulize nini kinakufanya uwe na wivu kiasi hicho kwa mkeo?amewahi kukuonyesha tabia fulani za kiusaliti?kama ndiyo labda ukae naye chini umweleze au kumuuliza tabia hizo zilimaanisha nini kwa wakati huo,yeye ndo mwenye majibu yote na kama hujawahi kuona nini kinakufanya uhisi kusalitiwa mara zote kiasi cha kuwa na wivu ulioptitliza?

2.ameweza kuelewa hisia zako akaacha fb, hayuko tena watts up,atajisikiaje akijua kuwa licha ya juhudi zote hizo bado humuamini na huwezi kumuachia uhuru wa kiasi?ataendelea kuvumilia sikuzote na kukupenda sikuzote akiwa na hisia kuwa humuamini na wala huwezi kumwacha huru walau kidogo?

3.ana mazoea yasiyofaa na wanaume wengine kama wafanyakazi wenzie au hata majirani au marafiki zako wa kiume?kama hapana nini kinakufanya uwe na wivu wa kiasi hiko?

4.umewahi kumkuta kwenye pozi tata akiwa na mwanaume mwingine?kama hapana kwa nini unakuwa na wivu kiasi hicho?kama ndiyo kwa nini usifanye utafiti wako ukajua ukweli kuliko kukaa ukijiumiza?

wansema NO LOVE WITHOUT JEOULOUS ni kweli lakini uwe ule wa kadri,mkeo anavumila kwa sasa lakini ukiendelea hivyo atakuchoka na ataanza kufanya mambo bila kujali ikiwa unaumia au la na hapo nadhani utaumia hata zaidi,kwa hiyo jitahidi tu hasa kama hujawahi kuona dalili zozote za usaliti kutoka kwa mkeo,jiaminishe tu kuwa ni wa kwako sikuzote na ndo maana akaamua kuwa na wewe,after all elewa kuwa wivu wala sio kinga ya wewe kutosalitiwa kama uliyenaye ni msaliti hata bila wivu anakusaliti tu,kaa chini ufikirie mkuu naamini utaweza,all the best.
 
Last edited by a moderator:
Kistroke kinakutamani sema hujaingia kwenye 18 zake!
Meku onea wivu pesa, bila kumungunya maneno huzungushi gurumu la ujenzi wa taifa vizuri, una muda mwingi wa kupoteza ama demu uliomuoa ni class ya juu ndo maana hujiamini.
 
Mmmh sijui ndo wewe?? Loh! Yawezekana hivyo ndo ulivyo sidhani kama waweza change ila kwa vile umejitambua yaweza kuwa solution moja wapo cha msingi muamini kama yeye anavyokuamini wivu ukizidi sana kwa mwenzi wako ni karaha .

Najitahidi sana kujijengea mazingira hayo lakini dah kila nikitest labda atoke nisiwepo naona roho inataka kabisa kuuacha mwili
 
Zorrander wewe ni muumini wa kumcheat mkeo?


nauliza kwa kuwa inasemekana wale walio na wivu wa kupindukia kwa wenzi wao mara nyingi wao ni waumini wa cheating tena ile extreme cheating na kwa hiyo wanahisi kama wanavyocheat na wenzi wao wanacheat hivyo hivyo na hivyo kuwa over defensive kwa mawivu,kama wewe ni muumini mzuri wa cheating basi uache kwani unavyoumia wewe kwa wivu huo ndivyo mkeo atakavyokuja kuumia ukimcheat na pia wivu ukizidi si mzuri kwani unasababisha kutoaminiana na pia kukosa raha kwa mtu mwenye kuonewa wivu kupindukia japo wivu wa kadri ni mzuri kwa wapendanao.



ikiwa wewe si muumini wa cheating ila umejikuta tu una wivu uliopitiliza jaribu haya:


1.jiulize nini kinakufanya uwe na wivu kiasi hicho kwa mkeo?amewahi kukuonyesha tabia fulani za kiusaliti?kama ndiyo labda ukae naye chini umweleze au kumuuliza tabia hizo zilimaanisha nini kwa wakati huo,yeye ndo mwenye majibu yote na kama hujawahi kuona nini kinakufanya uhisi kusalitiwa mara zote kiasi cha kuwa na wivu ulioptitliza?

2.ameweza kuelewa hisia zako akaacha fb, hayuko tena watts up,atajisikiaje akijua kuwa licha ya juhudi zote hizo bado humuamini na huwezi kumuachia uhuru wa kiasi?ataendelea kuvumilia sikuzote na kukupenda sikuzote akiwa na hisia kuwa humuamini na wala huwezi kumwacha huru walau kidogo?

3.ana mazoea yasiyofaa na wanaume wengine kama wafanyakazi wenzie au hata majirani au marafiki zako wa kiume?kama hapana nini kinakufanya uwe na wivu wa kiasi hiko?

4.umewahi kumkuta kwenye pozi tata akiwa na mwanaume mwingine?kama hapana kwa nini unakuwa na wivu kiasi hicho?kama ndiyo kwa nini usifanye utafiti wako ukajua ukweli kuliko kukaa ukijiumiza?

wansema NO LOVE WITHOUT JEOULOUS ni kweli lakini uwe ule wa kadri,mkeo anavumila kwa sasa lakini ukiendelea hivyo atakuchoka na ataanza kufanya mambo bila kujali ikiwa unaumia au la na hapo nadhani utaumia hata zaidi,kwa hiyo jitahidi tu hasa kama hujawahi kuona dalili zozote za usaliti kutoka kwa mkeo,jiaminishe tu kuwa ni wa kwako sikuzote na ndo maana akaamua kuwa na wewe,after all elewa kuwa wivu wala sio kinga ya wewe kutosalitiwa kama uliyenaye ni msaliti hata bila wivu anakusaliti tu,kaa chini ufikirie mkuu naamini utaweza,all the best.

Nashukuru sana kwa mchango wako. Ntaufanyia kazi
 
Last edited by a moderator:
wewe ni mtu wa wapi kwanza si wa kigoma kweli? mana wa kigoma wamezidi kwa wivu..

nina shemeji yangu amemuoa mdogo wangu kwa jinsi alivo na wivu hadi namuonea huruma..huwezi amini anamfungia mlango kabisa na anaondoka na ufunguo....yaani ni hakuna kutoka hata nje....na kazi hakuna kufanya
hizo cm sasa ni kila siku mdogo wangu ana namba mpya, yaani akikutwa kapiga simu yeyote isiyoeleweka anabadilishiwa namba, hapo ni baada ya kichapo aseme huyo m2 ni nani...huyu mdg wang sasa ivi ameamua hataki simu kabisa..
 
Jaribu kuchepuka kidogo hiyo kasi ya wivu itapungua
 
Aaah kuna raha bana asikuambie mtu
napendaga zaidi ile napigiwa simu "upo wapi? Rudi nyumbani upesi"
nawaacha mashost konyagi mezani huyoooo nduki nyumbani.

Yan wewee umenifanya niumie mbavu zangu
 
ongeza wivu, mwanaume asiyekuwa na wivu haonyeshi mapenzi kwa mkewe.....
 
mi napenda mwanaume mwenye wivu,anilinde na kunijali hivyo,sema wewe hauna wivu wewe hujiamini unahisi kwamba haustahili kuwa na hicho kifaa,kwa nini??? i had the same situation kama wewe kwa kaka flani niliishia kumkera na chupuchupu tuachane nikajitathmini na kuona kwamba mimi ni mrembo,mzuri,na nina stahili kuwa na mwanaume mtanashati,mpole na msikivu kama yeye,so na wewe ji evaluate na sema nilivyo hivi nina stahili kuwa na huyu mwanamke practiz hivyo utakuja kuzoea na atapata uhuru wake,again huna wivu ni kwamba HUJIAMINI
 
jaribu kujicontroll asap ukiiendekeza hiyo hali ipo siku mwenza wako atakuchoka na kumpata mtu ambae hampelekeshi pelekeshi kama wewe hapo ndo utajiweka kwenye mazingira magumu ya kupoteza upendo aliokuwa nao juu yako,wivu hatutakatai lazima mtu uwe nao juu ya mwenza wako lakini ukizidi kama wako unakuwa kwero katika mhusiano jaribu kuwa na imani na mwenza wako! kuwa mkali sana juu yake sio kigezo cha yeye kushindwa kukusaliti.
 
Back
Top Bottom