Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,053
- 18,017
Asante kwa kutuunga mkono Mheshimiwa!! Tena kwa kuwa wewe ni mahiri kwa kuimba mashairi utafaa sana kwenye mpango huuWe nawe,sijuhi umekula maharagwe ya wapi?
Asante kwa kutuunga mkono Mheshimiwa!! Tena kwa kuwa wewe ni mahiri kwa kuimba mashairi utafaa sana kwenye mpango huuWe nawe,sijuhi umekula maharagwe ya wapi?
Thread starter:unanikumbusha zamani sana wakati tunajifunza kuongea kinyume km kaba utasema nini vile? sitaki kwenda mbali tatizo letu kubwa ni katiba japo hata katiba iliyopo km inavunjwa ni shida,uongozi ni dhamana anatakiwa mtu mwenye busara na utulivuHabari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania
Amepost akiwa chooni labdaWe nawe,sijuhi umekula maharagwe ya wapi?
Hapana, ya green city ni very nutritious.Bila shaka ni yale ya green city
Pinga basi maana unategemea Watanzania ni wapumbavu kama wewe au unatichukuliaje Watanzania.?? Kama.unataka vyeo nenda Ikulu ukaombe usileye upumbavu hukuHabari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania