Wito: UVCCM tuungane katika hili

Wito: UVCCM tuungane katika hili

Habari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania
Thread starter:unanikumbusha zamani sana wakati tunajifunza kuongea kinyume km kaba utasema nini vile? sitaki kwenda mbali tatizo letu kubwa ni katiba japo hata katiba iliyopo km inavunjwa ni shida,uongozi ni dhamana anatakiwa mtu mwenye busara na utulivu
 
Mleta mada amesema kweli. Kuna uhuru wa habari sasa hivi kuliko wakati wote na kuliko mataifa yote. Magazeti yanaweza kukosoa bila shida, tunaweza kuandika kuwa hakuna dawa, hakuna sukari, kuna njaa, kuna zika na kadhalika na serikali ikachukua hatua sahihi kwa kutumia taarifa hizo. Kwani magazeti ni njia moja rahisi za kutaarifu watu.
Wapenzani wameruhusiwa kuongea hadharani na bunge iko live.
Hii kama siyo democrasia ni nini.
Sijui wapinzani na raia wengi kwa nini bado wanadai democrasia.
Hekomleta mada
 
Huyu kaandika kinyume nilikua sijamuelewa sasa nimemusoma
 
Ni dalili ya Akili ndogo.
Kupinga kila kitu kwa kusema hapana na si kutoa hoja na sababu kwanini hapana.
 
Rafiki yangu Alexism umenisikitisha sana mkuu. TUMIA AKILI CO MANANII YA NYUMA YA KUKALIA.
 
Jamani tumuunge mkono rais hamna njaa na Demokrasia imetamalaki pia ajira nje nje....UVCCM ni wajibu kumshangalie mkuu
 
Unajitahidi sana mleta mada uko sahihi kwa akili zenu uvccm kupinga ukweli ila mjue watanzania wanajua Hali halisi
 
Mkuu, Alexism, nashindwa kuungana na wewe kusema hakuna njaa wakati nusu na robo ya waliochangia humu wameshindwa kung'amua ulichomaanisha kutokana na kutokula chakula.
Hakika njaa ipo.
 
Habari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania
Pinga basi maana unategemea Watanzania ni wapumbavu kama wewe au unatichukuliaje Watanzania.?? Kama.unataka vyeo nenda Ikulu ukaombe usileye upumbavu huku
 
Back
Top Bottom