Wito kwa kususia huduma unapobaguliwa

Wito kwa kususia huduma unapobaguliwa

Joined
Jan 16, 2015
Posts
49
Reaction score
35
Habari za Weekend Wakuu..

Kumekuwa na report mbalimbali za watanzania wenzetu wa asili ya kiafrika kubaguliwa sehemu mbali mbali kama mahoteli, migahawa, maduka na kadhalika. Mfano, una pesa yako, unaenda hotelini na huduma mpaka ubembeleze. Wakati huo huo akitokea mtu wa jamii nyingine anakimbiliwa kama mpira wa kona. Mi mwenyewe nimekuwa muhanga wa hili sehemu mbalimbali.

Mfano nilienda duka moja la mhindi pale dodoma (Bahati mbaya sikumbuki jina la duka lakini ni kwenye round about opposite na dodoma wimpy,kwenye kituo cha mafuta). Nimesimama naomba huduma kwa muhindi anajifanya yuko busy. Wakati nasubilia kupata huduma wakaja raia wa kizungu ndo nikapotezewa kabisa. Ikanibidi niondoke tu maana nilikuwa naendelea na safari.

Pia imenitokea maeneo ya slipway na sehemu kadhaa ambapo unaona ubaguzi wa wazi kabisa. Kumbuka unao uwezo wa kununua hiyo service au bidhaa lakini unabaguliwa.

Mwaionaje hii jamani ? Tukubali kubaguliwa kwenye nchi yetu mpaka lini ? Mwaonaje tukianzisha boycott na kuyaanika maeneo hayo kwenye mitandao au special page kwenye JF ili kila mtu ayajue na tususie kwenda maeneo hayo ? Wanasiasa wetu wanatusaidiaje kwa hili. Inaumiza sana kuona unabaguliwa hata kwenye nchi yako mwenyewe.Tafadhari tupieni mawazo...This has to end.
 
mkuu umeshindwa kumtukana huyo anayekubagua
 
...tutaanza kuwaua,hiyo ndio solution
 
Mkuu pole kwa yalokukuta,nadhan hawa watu ni kuwaambia ukwel tu hapohapo kuwa nchi hii ni yetu na wenye uchungu nayo n cc kwan ubaguz wa namna hyo haufai.
 
pole sana kama bado unaendaga kutaka huduma kwa hao magabachori. mimi naenda kupata huduma kwa wabongo wenzangu tu. full stop.

Habari za Weekend Wakuu..

Kumekuwa na report mbalimbali za watanzania wenzetu wa asili ya kiafrika kubaguliwa sehemu mbali mbali kama mahoteli, migahawa, maduka na kadhalika. Mfano, una pesa yako, unaenda hotelini na huduma mpaka ubembeleze. Wakati huo huo akitokea mtu wa jamii nyingine anakimbiliwa kama mpira wa kona. Mi mwenyewe nimekuwa muhanga wa hili sehemu mbalimbali.

Mfano nilienda duka moja la mhindi pale dodoma (Bahati mbaya sikumbuki jina la duka lakini ni kwenye round about opposite na dodoma wimpy,kwenye kituo cha mafuta). Nimesimama naomba huduma kwa muhindi anajifanya yuko busy. Wakati nasubilia kupata huduma wakaja raia wa kizungu ndo nikapotezewa kabisa. Ikanibidi niondoke tu maana nilikuwa naendelea na safari.

Pia imenitokea maeneo ya slipway na sehemu kadhaa ambapo unaona ubaguzi wa wazi kabisa. Kumbuka unao uwezo wa kununua hiyo service au bidhaa lakini unabaguliwa.

Mwaionaje hii jamani ? Tukubali kubaguliwa kwenye nchi yetu mpaka lini ? Mwaonaje tukianzisha boycott na kuyaanika maeneo hayo kwenye mitandao au special page kwenye JF ili kila mtu ayajue na tususie kwenda maeneo hayo ? Wanasiasa wetu wanatusaidiaje kwa hili. Inaumiza sana kuona unabaguliwa hata kwenye nchi yako mwenyewe.Tafadhari tupieni mawazo...This has to end.
 
Mkuu pole kwa yalokukuta,nadhan hawa watu ni kuwaambia ukwel tu hapohapo kuwa nchi hii ni yetu na wenye uchungu nayo n cc kwan ubaguz wa namna hyo haufai.

Kuwaambia ni good idea....lakini tunaweza enda extra mile....make their business suffer. ..na hapo ndo watajifunza in a great way. Hivi hivi nadhani haya yataendelea milele....😡
 
pole sana kama bado unaendaga kutaka huduma kwa hao magabachori. mimi naenda kupata huduma kwa wabongo wenzangu tu. full stop.

Mkuu, kuna huduma nyingine unakuta wao ndo wameshikilia karibu sector nzima.. pia kuna mazingira unalazimika tu kuingia maeneo yao hata kama hutaki. Pamoja na hayo, ni vyema tukatafuta namna ya kupeleka ujumbe positively maana bado tunahitaji biashara ili uchumi wetu ukue....
 
Back
Top Bottom