Without dads, kids grow up to become anti-social

Indeed. Did the good researcher go further and check with those absent fathers to proof of their character and personality....maybe even a biased sample was used haijaangalia issue ya nature and nurture. Genes play a part.

An apple does not fall far from the tree. There are also men if they researched well are an insult to the term father. Many single mothers have done a great job raising children, while the so called fathers do a lot of gallavanting.

Wazazi wote ni muhimu sana kwa malezi ya watoto wawe kwa kike na hata wa kiume. Hata kama single mother anajitahidi vipi lakini bado kutowepo kwa Baba katika maisha ya watoto husika kutawaathiri katika maisha yao ya baadaye. Hili limechachunguzwa.
 
Wazazi wote ni muhimu sana kwa malezi ya watoto wawe kwa kike na hata wa kiume. Hata kama single mother anajitahidi vipi lakini bado kutowepo kwa Baba katika maisha ya watoto husika kutawaathiri katika maisha yao ya baadaye. Hili limechachunguzwa.

Nakubaliana nawe. mara nyingi hata nidhamu ya watoto waliolelewa bila baba ni tofauti na wale waliolelewa na wazazi wote wawili.
Lipo hili katika jamii yetu. But of course, there are exeptions, howevery few they are....!
 
wee nawe kwa ubishi usio na tija!

Siyo ubishi wa Tija bali nakwambia kweli. Majuu wanawake baada ya kujua wanaweza kununua mbegu na kupata watoto hata kama hawana wanaume waliona jambo hili ni poa sana. Sasa baada ya hii research kufanywa na results kuwekwa hadharani wanawake wanaotaka kuwekewa mbegu ili kujipatia watoto wasiyo na Baba, idadi yao ni ndogo mno kuliko ilivyotegemewa. Wazazi wote ni muhimu sana katika maisha ya watoto wao.
 
Back
Top Bottom