moft
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 271
- 228
Dar kubwa nambie ni shm gani boss maan ata dar Kuna vijijiniDar au coverage ya 5G hata Dar imegawanyika tena hilo si balaa
r
Dar kubwa nambie ni shm gani boss maan ata dar Kuna vijijiniDar au coverage ya 5G hata Dar imegawanyika tena hilo si balaa
r
Mbezi ya kimaraDar kubwa nambie ni shm gani boss maan ata dar Kuna vijijini
Uko 5G ipo vzri sana so ni better ufanyiwe survey check me 0744355811Mbezi-Kimara
115k bei ya mwanzo ilikuwa 10mbps baadae wakapandisha speed kuja 20mbps hii ni 4gIzi packages kwanini zinatangazwa na watu tofauti kwa bei tofauti?
Kwenye tovuti ya Vodacom wameandika 10mbps kwa 115k na 20mbps kwa 165k pia kupitia email ya Vodacom bei ni iyo. Wewe unadai 20mbps kwa 115k na 30mbps kwa 165k pia kuna thread nne humu zote bei tofauti 30mbps kwa 126k, 20mbps kwa 120k, 10 MBps kwa 115k na 10mbps kwa 115k