inazima injini alafu mambo mengine yana endelea!Unaonekana unauelewa na haya mambo?
Rocket ikiwa kule space huwa ina simamaje/huku tunaita ku-land wakati inakamilisha kilichoipeleka?
Hapa Mwanza Pia zipo, labda zinaongeza ulinzi kwa mh. Rais JPM






Good answer, na zinapita kwa kuomba kama nchi hakuna ulinzi wa anga wanajipitia tu bila kuomba, chombo cha ulinzi wa anga angalia hiyo Avatar yangu kitu hiki kinaitwa S 500 ni cha Mrusi hatari sana NATO hawasogelei anga lako ukiwa nacho.Rockets??
Hizo ni commercial airlines (ndege za abiria) ziko ktk international airspace kuelekea nchi zingine!!
Huwa zinapita ni kwamba labda huwa huzioni.
Hapa Mwanza Pia zipo, labda zinaongeza ulinzi kwa mh. Rais JPM
Hahainazima injini alafu mambo mengine yana endelea!
hapa duniani mbwembwe zote zile ni kwaajili ya kitu inaitwa escape velocity unajua dunia ina vuta vitu toward its centre of gravity so ili utoke nje ya anga la dunia lazima uwe na nguvu ya ziada kwenda against na mvuto wa dunia hivyo ukishatoka outside anga ladunia hautaji tena zile mbwembwe kwani gravity itakua equal to zero......Nb sijasoma phisics but kama hujaelewa unaweza kuuliza nami nitakupa kile nikijuachoHaha
Fanya unishawishi basi hata kidogo hata kama sijui mzee. Hizi mambo wakati wa kwenda juu zinawashwa kwa aidha moto au joto kali saana. Sasa hayo mambo ya kuzimwa vipi joo
hapa duniani mbwembwe zote zile ni kwaajili ya kitu inaitwa escape velocity unajua dunia ina vuta vitu toward its centre of gravity so ili utoke nje ya anga la dunia lazima uwe na nguvu ya ziada kwenda against na mvuto wa dunia hivyo ukishatoka outside anga ladunia hautaji tena zile mbwembwe kwani gravity itakua equal to zero......Nb sijasoma phisics but kama hujaelewa unaweza kuuliza nami nitakupa kile nikijuachoHaha
Fanya unishawishi basi hata kidogo hata kama sijui mzee. Hizi mambo wakati wa kwenda juu zinawashwa kwa aidha moto au joto kali saana. Sasa hayo mambo ya kuzimwa vipi joo
Haha
Fanya unishawishi basi hata kidogo hata kama sijui mzee. Hizi mambo wakati wa kwenda juu zinawashwa kwa aidha moto au joto kali saana. Sasa hayo mambo ya kuzimwa vipi joo