ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,661
- 57,066
Kila siku hizi zinapita rocket kwenye anga.kuna project kubwa zimeongezeka zinahusu nini?
Ni kweli haswa Leo,,my quiz kuna kiwanja cha rocket bongo?zinatoka wap?matumiz yake?Kila siku hizi zinapita rocket kwenye anga.kuna project kubwa zimeongezeka zinahusu nini?
Jose wewe hauko katika Jiji la Makonda....!?Wapi huko mkuu..
Wengine hatupo hukoJose wewe hauko katika Jiji la Makonda....!?
Ndege (Rockets) zimeshinda zinazunguuka Anga kutwa nzima...!
Somethin unknown is going around..
anaongelea zile ndege zikipota zinaacha mstari wa moshi mweupe..Rockets??
Mkuu zile sio rocket ni ndege za abiria na za kimataifa hapa mwanza zinapita juu Sana katika anga la kimataifa ambalo kule juu kuna baridi Sana sasa zile engine za ndege ni za jet zinapovuta upepo kutoka mbele zikapita kwenye propeller na kutokea upande wa pili zinatoa mvuke ambao ndo tunauona then wananchi mnasema ni Rocket ,sio kweli rocket ni za kwenda anga za juu zinarukia China ,America ,Europe na Urusi direct to the spaceHapa Mwanza Pia zipo, labda zinaongeza ulinzi kwa mh. Rais JPM
Unaonekana unauelewa na haya mambo?Mkuu zile sio rocket ni ndege za abiria na za kimataifa hapa mwanza zinapita juu Sana katika anga la kimataifa ambalo kule juu kuna baridi Sana sasa zile engine za ndege ni za jet zinapovuta upepo kutoka mbele zikapita kwenye propeller na kutokea upande wa pili zinatoa mvuke ambao ndo tunauona then wananchi mnasema ni Rocket ,sio kweli rocket ni za kwenda anga za juu zinarukia China ,America ,Europe na Urusi direct to the space
Rocket? Au unamaanisha ndege zilizo juu sana angani?
Ur right mkuu but wabongo wengi wanadhani ni rocket ,kwa kawaida rocket najua zinarushwa sehemu maalum na kwenda katika space kwenye mzingo wa dunia,Rockets??
Hizo ni commercial airlines (ndege za abiria) ziko ktk international airspace kuelekea nchi zingine!!
Huwa zinapita ni kwamba labda huwa huzioni.