Hakuna sehemu nimepangia mtu mkuu.
Hapa natoa Maneno matakatifu tu yanayokataza Ulevi.
Sasa kk wewe umeamua kumpinga Mungu basi endelea lkn usishawishi na wengine waingie na Wewe ktk Jahannamu.
Hii ni hatari sana mkuu.
Ustaadhi kahtaan umenifurahisha sana.wagalatia huwa tunajisahau sana. Na ukiwaeleza ukweli kama huu wanapinga.ila kwa kuwa umefanya qoutations.hakuna atakayetia mguu hapa
Aya bwana mi nafanya biashara ndo napata hela ya kula na wanangu
Kipindi cha sikukuu ipi mkuu?
Mi najaribu kukusaidia ndugu. Na si lengo langu kuharibu biashara yako.
Ulevi ni hatari kwa kila kona.
Ni chanzo kikuu cha uharibifu wa afya ya mtu.
Ni sababu kuu ya ongezeko la ajali brbrni.
Ni chanzo kikuu cha ndoa za watu kuvunjika.
Na Juu kabisa ni MACHUKIZO MAKUU KWA MUNGU.
Mbona biashara ziko Nyingi tu?
Jaribu biashara ingine mkuu, utabarikiwa.
Hii waachie wale wasio na Uungwana.
Hio wine wewe unatumia Kujipakaa au?Jamani mleta post hajasema chochote kuhusu Ulevi. Hiyo veyula ni wine inaweza tumika kwa kazi mbali. Nashangaa watu wanakimbilia kwenye ulevi moja kwa moja. Mtoa post amesema kwa anayehitaji. Usiyehitaji inakuhusu nini? Akili ndogo bwana!
Uzinzi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.(Hosea 4:11)
Ole wa taji ya kiburi ya walevi wa Efraim na ua la uzuri wa fahari yake linalonyauka, lililo kichwani mwa bonde-linalostawi la hao walioshindwa na divai! (Isaya 28:1).
Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu huchanganya vileo, wampao haki-mwenye uovu ili wapewe ijara na kumwondolea mwenye haki haki yake. (Isaya 5;22-23).
Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo, wakishinda-sanahata usiku wa manane mpaka-mvinyo imewaka kama moto ndani-yao! Na kinubi, na zeze na matari na filimbi, na mvinyo zote ziko katika-karamu zao lakini hawaangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake. (Isaya 5:11-12
Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu, litiapo bilauri rangi yake ishukapo taratibu; mwisho wake huuma-kama-nyoka; Huchoma kama fi.ra. Macho yako yatakuwa mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka,Naam, utakuwa-kama-alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.-
Utasema,wamenichapa wala sikuumia, wamenipiga wala sina habari, Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.(Mithali 23:31-35).
Wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia, huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. Naam, mbwa hao wana choyo-sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno, wote pia wamegeuka-upande, wazifuate njia zao wenyewe kila mmoja kwa faida yake toka pande zote. Husema, njooni nitaleta divai,na tunywe-sana-kileo na kesho itakuwa lama leo sikukuu kupita kiasi
.(Isaya 56:10-12).
Wote wanaowaita watu ktk UKEVI Andiko limewaita ni.MBWA
ACha tabia mbaya mara moja.
Hio wine wewe unatumia Kujipakaa au?
Acheni kutetea Upumbavu nyie walevi.
Wines zinazotumika kwa mapishi sio hii.
Au wewe mwalimu wa ulevi unatumia kila Wine kwa matumizi yyt unayotaka wewe sio?
Unapotaka kutetea kitu jipange kidogo sio kuropoka tu.
Huu ni ULEVI. Na ANDIKO limekataza.
Full stop.
We km huwezi kuacha Pombe endelea kunywa mpk ikuue lkn usijaribu kutetea kwa hoja zako dhaifu namna hio.
Muhimu nimekufikishia ujumbe mkuu.Kama vipi wewe pita tu. We unakaa hapo Mimi naingiza sIku ndugu yangu. Kama huhitaji usijisumbue na usijipe stress.
Uzinzi na divai, na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.(Hosea 4:11)
Ole wa taji ya kiburi ya walevi wa Efraim na ua la uzuri wa fahari yake linalonyauka, lililo kichwani mwa bonde-linalostawi la hao walioshindwa na divai! (Isaya 28:1).
Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu huchanganya vileo, wampao haki-mwenye uovu ili wapewe ijara na kumwondolea mwenye haki haki yake. (Isaya 5;22-23).
Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo, wakishinda-sanahata usiku wa manane mpaka-mvinyo imewaka kama moto ndani-yao! Na kinubi, na zeze na matari na filimbi, na mvinyo zote ziko katika-karamu zao lakini hawaangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake. (Isaya 5:11-12
Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu, litiapo bilauri rangi yake ishukapo taratibu; mwisho wake huuma-kama-nyoka; Huchoma kama fi.ra. Macho yako yatakuwa mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka,Naam, utakuwa-kama-alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.-
Utasema,wamenichapa wala sikuumia, wamenipiga wala sina habari, Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.(Mithali 23:31-35).
Wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia, huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. Naam, mbwa hao wana choyo-sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno, wote pia wamegeuka-upande, wazifuate njia zao wenyewe kila mmoja kwa faida yake toka pande zote. Husema, njooni nitaleta divai,na tunywe-sana-kileo na kesho itakuwa lama leo sikukuu kupita kiasi
.(Isaya 56:10-12).
Wote wanaowaita watu ktk UKEVI Andiko limewaita ni.MBWA
ACha tabia mbaya mara moja.
Una fahamu maana ya "OLE WAKO!".Waapi wamesema ni dhambi na isinywewe
nipo dar nataka tatu next weekKwa wanohitaji wine a in a ya veyula kutoka dodoma ni 7500 kipindi cha sikukuu.. Wani WhatsApp kwa number 0716376587 au wapige number 0672818879
We umeshalewa. Nenda kalale kabla hujagongwa na bajaj.Hivi kulewa ndo kufanyaje!? Kila anayekunywa pombe lazima alewe!? Tuanzie hapo kwanza..
We umeshalewa. Nenda kalale kabla hujagongwa na bajaj.