Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa ufupi tu ni sisi watanzania ndio tulichua hiyo tune ya South Africa, huo wimbo ni wazamani sana (NKOSI SIKELELI), wakati ule kipindi cha Nyerere katika vuguvugu la ukombozi Africa, huo wimbo ulichukuliwa kama ni wimbo wa Africa na nchi kama Zambia, Zimbabwe na Botswana walikuwa wanatumia tune hizohizo, lakini Zimbabwe walibadilisha 1985, Botswana 1967, lakini Zambia mpaka leo bado wanatumia hiyo tune, lakinim kwa south Afrika japo wanaanza katika ile tune original lakini wamefanya modification kidogo
Mimi naona Tanzania no bora tukabadilisha tune ya wimbo huu na kufata tune zetu za asili. Au hata kutumia Tune za wimbo wa Taifa wa ZANZIBAR.
kwa ufupi tu ni sisi watanzania ndio tulichua hiyo tune ya South Africa, huo wimbo ni wazamani sana (NKOSI SIKELELI), wakati ule kipindi cha Nyerere katika vuguvugu la ukombozi Africa, huo wimbo ulichukuliwa kama ni wimbo wa Africa na nchi kama Zambia, Zimbabwe na Botswana walikuwa wanatumia tune hizohizo, lakini Zimbabwe walibadilisha 1985, Botswana 1967, lakini Zambia mpaka leo bado wanatumia hiyo tune, lakinim kwa south Afrika japo wanaanza katika ile tune original lakini wamefanya modification kidogo
Kuna uwezekano kuwa Zimbabwe walibadilisha wimbo wao 1994, check facts zako.
Na vilevile inasemekana baada ya Nyerere na Kaunda kuachia madaraka, Mugabe alitegemea ndie angefuatia kuwa kiongozi mwenye influence kwenye nchi za SADCC na za ukombozi, lakini wakina Companero na waafrika wengi wakaweka mapenzi kwa Mandela na kumfanya Mugabe kama relic. Mugabe akaMind na kubadilisha wimbo.