Wimbo wa Taifa ubadilishwe

Halafu utaambiwa uandaaji wa wa wimbo umegharimu bilioni 300.
 
Kwanza hauna maana yoyote maana nchi imejaa majangili tupu
 
Mimi nadhani wimbo wetu tukufu wa taifa unafaa kubadilishwa hasa pale panaposema WABARIKI VIO-NGOZI WETU maana haiwezekani tukawa tunawaombea baraka viongozi matapeli, wanyanyasaji na wakandamizaji Kama baadhi ya hawa tulio nao.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Wimbo wa Taifa hauna kosa wala hakuna haja ya kuubadili.

Uongozi una misingi yake na kila kiongozi anatakiwa kuifuata kwa maslahi ya anaowaongoza. Hivyo hata wimbo ulitungwa kwa misingi hiyo.

Ni kukengeuka tu kwa viongozi wetu.
 
Naunga mkono hoja.
Hatuwezi kuombea Baraka vibaka
 
Ndio maana unapopigwa wimbo wa taifa huwa siimbi kabisa, hasa nikiangalia viongozi wenyewe wanaoombewa baraka.

Bora niinjoy tu! 😡
 
Nyerere ameukomeshaa...
Karume ameukomeshaaa..
Tanu imeukomeshaa.....
Napata shida kidogo hapo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…