Wimbo wa "Nani kama mama' wa Cris Bella

Wimbo wa "Nani kama mama' wa Cris Bella

Asa'rile

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
438
Reaction score
120
WanaJF,

Nauliza hivi ule wimbo ni wa dini au?

Nilivyousikia kwa mara ya kwanza nikadhani ni Bony Mwaitege kaja na part-2 ya "Mama ni mama"
kabla ya kugundua kuwa ni sauti laini ya Papa Bello.

Kwahiyo Bella naye kajitosa huku ambako yuko Chidumule, Muhando Bukuku, Mzee wa upako au ?
 
Hivi mtu ukishapost uwa unarudia ulichokiandika kama ni sahihi?
 
Mi napend ule uko wapi mpenzi wangu nikufuate umaana mara nyingi nausikiaga kwenye mabar .
 
Back
Top Bottom