Wimbo wa Lowassa wamponza

Wimbo wa Lowassa wamponza

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limemkamata mkazi wa Chang?ombe Emmanuel William (35) kwa tuhuma za kupiga nyimbo za mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Chadema, Edward Lowassa kwa kutumia simu ya mkononi wakati akiwa kwenye foleni ya wapiga kura.

Kamanda wa Polisi Mkoani hapa, David Misime, amewaambia waandishi wa habari kuwa mpiga kura huyo alikamatwa katika kituo cha kupigia kura cha Chang?ombe siku ya Jumapili.
 
iko siku ukombozzi utakuja tokea... no pain no gain
 
Nyie mnaoshabikia ndiyo wapumbav, yaani kupoteza pesa bure sababu ya kesi kama hii. Kama ni ringtone atakuwa alisahau kama ambavyo tukiwa airports tunasahau funguo au hata nyembe ktk koti. Unaelemishwa au onywa na kazi zinaendelea. Lakini inji hii ya masifa ili kupata vyeo basi huyo RPC au OCD ataonekana shujaa na atapewa post nzuri au hata kyeo..

Pathetic, bs badilikeni nyie malofa orijino karne mpya hii, tuwekeze nguvu ktk mambo ya maana.

WW foksi....ni foksi haswa....!!
 
Huyo ni mjinga na mpumbavu aliejaa mahaba ya kipuuzi. Ilitangazwa kila mahali kuwa mwisho wa kampeni ni siku moja kabla ya uchaguzi, huruhusiwi kuvaa nguo yenye rangi za bendera au alama ya chama chochote wala kuzungumzia siasa kwenye kituo cha kupigia kura halafu unapiga nyimbo zinazotaja mgombea fulani? Wengine Tuliondoa mpaka themes za simu
 
Nyie mnaoshabikia ndiyo wapumbav, yaani kupoteza pesa bure sababu ya kesi kama hii. Kama ni ringtone atakuwa alisahau kama ambavyo tukiwa airports tunasahau funguo au hata nyembe ktk koti. Unaelemishwa au onywa na kazi zinaendelea. Lakini inji hii ya masifa ili kupata vyeo basi huyo RPC au OCD ataonekana shujaa na atapewa post nzuri au hata kyeo..

Pathetic, bs badilikeni nyie malofa orijino karne mpya hii, tuwekeze nguvu ktk mambo ya maana.

WW foksi....ni foksi haswa....!!

Sheria haijui mambo ya kusahau au kutokujua au gharama za kuendesha kesi.!
kosa la kisheria ni kosa tu na hukumu yake ni mahakamani...
We ndo jinga la kwanza kuliko ata uyo aloshikiliwa na polisi; maana naona hujajifunza kitu kutokana na io issue..!
 
Tumesomeshwa kila siku kuwa mwisho wa kampeni ni siku moja kabla ya kupiga kura.

Huyo ni mpumbavu.
mkapa alikuwa sahihi kabisa kuwapa lile jina. hawaelewi na wakinywa viroba au kuvuta ile kitu ya arusha ndo kabisa wanakuwa kama mazezeta.
 
Hawa polisi vipi?

Wimbo wa Lowassa wamponza
De Minimis Non Curat Lex Definition:Latin: a common law principle whereby judges will not sit in judgment of extremely minor transgressions of the law.
 
Back
Top Bottom