Andersy
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 586
- 143
Nyie mnaoshabikia ndiyo wapumbav, yaani kupoteza pesa bure sababu ya kesi kama hii. Kama ni ringtone atakuwa alisahau kama ambavyo tukiwa airports tunasahau funguo au hata nyembe ktk koti. Unaelemishwa au onywa na kazi zinaendelea. Lakini inji hii ya masifa ili kupata vyeo basi huyo RPC au OCD ataonekana shujaa na atapewa post nzuri au hata kyeo..
Pathetic, bs badilikeni nyie malofa orijino karne mpya hii, tuwekeze nguvu ktk mambo ya maana.
WW foksi....ni foksi haswa....!!
Mapovu yote hayo si bure, hasira za nyumbani unazipeleka kazini