Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
10,074
20,361
Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;

1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.

4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.

5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.

Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
 
Siku hizi Mzee wa upako kabakiza jina tu na wafuasi. Yeye kila siku ni kuikanja Biblia na jiana la Yesu. Unadai hakuna utatu mtakatifu halafu bado unalazimisha kuwa Mkristo. Uzuri Hawa matapeli huwa hawadumu wanapiga na kusahaulika.

Naomba andiko linaloelezea Utatu mtakatifu
 
Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;

1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.

4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za kanisa kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.

5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.

Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

6 Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.

7 Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.

8 Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

9 Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.

11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Yohana 1
17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.

18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.
 
Mnahangaika sana kumwelezea huyo Mungu kwa vile Hayupo kujiongelea mwenyewe wala hawezi kujidhihirisha kama yupo.

Ndio maana kila mtu anajaribu kuelezea complexity ya kitu ambacho hakipo.

Mungu huyo angekuwepo, Ange eleweka pasipo utata kwa watu wote na wakati wote.
 
Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

6 Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.

7 Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.

8 Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.

9 Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.

10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.

11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.

12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Kabla ya hapo mwanzo, Huyo Mungu na Neno vilikuwa wapi?

Huko vilikokuwa, kulitoka wapi?

Kama kuna wakati hakukuwapo mwanzo, kisha mwanzo ukawepo, Mwanzo huo ulitoka wapi ukawa mwanzo Neno/Mungu?
 
Kabla ya hapo mwanzo, Huyo Mungu na Neno vilikuwa wapi?

Huko vilikokuwa, kulitoka wapi?

Kama kuna wakati hakukuwapo mwanzo, kisha mwanzo ukawepo, Mwanzo huo ulitoka wapi ukawa mwanzo Neno/Mungu?

Hujui unachotaka kuuliza
 
Atheists 24:5

Mpumbavu amesema moyoni, Kuna Mungu maana hawezi kufikiria sawasawa na hawezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu, Anaunda dhana za kufikirika tu.

2 Wakorintho 6

14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?

15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?

16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.

18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,




Mungu wetu ni wa demokrasia wewe amini hayupo kwasababu zako, na mimi nuache nuamini yupo kwa msingi wangu
 
Mungu ni mmoja wakristo wengi ni nyumbu wanafuata mapokeo badala ya kusoma biblia vizuri

Na yesu sio Mungu ni kibaraka tu wa Mungu lucky enough mmeanza kufarakana nyie wenyewe na ukweli utafahamika tu

Eti kisa raisi wa JMT ni taasisi ndio useme kuna maraisi wengi hivi una akili kweli wewe.

Mungu ni mmoja tuu
Yesu ni mungu


Kama unaamini Mungu yupo kasome maandiko
 
2 Wakorintho 6

14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?

15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?

16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.

18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,




Mungu wetu ni wa demokrasia wewe amini hayupo kwasababu zako, na mimi nuache nuamini yupo kwa msingi wangu
Sijakwambia uniambie huyo Mungu ni wa demokrasia.

Nataka uthibitishe uwepo wa huyo Mungu au kama huwezi kuthibitisha, Mwambie huyo Mungu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo.
 
Mungu ni mmoja tuu
Yesu ni mungu


Kama unaamini Mungu yupo kasome maandiko
Hakuna Mungu anaitwa Yesu

Ye mwenyewe anamuomba Mungu

Yesu ni mwana wa Mungu kama wewe ulivyomwana wa Mungu na kuitwa mwana wa Mungu ni sababu ya uumbaji Mungu alipuliza uhai kwa kitu alicholiunda kwa udongo
 
Sijakwambia uniambie huyo Mungu ni wa demokrasia.

Nataka uthibitishe uwepo wa huyo Mungu au kama huwezi kuthibitisha, Mwambie huyo Mungu aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo.

Kwangu Mungu ni dhahiri

Ombi lako limefika na atajidhihirisha kwako Kabla hujaiacha Dunia

Ukumhuke kuleta mrejesho hapa
 
Back
Top Bottom