Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 10,074
- 20,361
Kuna nabii ametokea anadai wimbo huu mdada kauimba kwa kutumiwa na shetani bila yeye kujua, labda kwasababu amekuja wakati wa trend shetani anaagiza manabii na mitume wa uongo hao wauza mafuta waufute uungu wa Yesu. what I think about it;
1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.
4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.
5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.
Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.
1. Mungu ni mmoja tu, ila amejidhihirisha kwa nafsi tatu.
2. Yesu ni nafsi ya Mungu, hivyo ni Mungu yule yule.
3. Mzee wa ngome ya temboni ambaye namjua ni ajenti, mzee wa kibangu a.k.a Konyagi bapa, manabii mbalimbali wa uongo bongo wameibuka kwa pamoja wanadai Hakuna utatu mtakatifu na kwamba Yesu alikuwa mwanadamu wa kawaida tu, sio Mungu. wakati Biblia inasema hata kabla ya Agano JIpya (kitabu cha Isaya) kwamba Yesu ni Mungu mwenye Nguvu.
4. Wimbo huu ukiusikiliza vizuri, unaweza kuamini kwamba ni mojawapo ya shughuli za adui kuingiza ajenda zake kidogokidogo hadi aufute kabisa Uungu wa Yesu.
5. Kwa msiojua, ukijifanya wewe unamtumikia Mungu hakikisha upo vizuri kiroho, haufungui milango kama uzinzi, ugomvi, na uchafu mwingine. ukifanay hivyo hata kama wewe unajifanya kumtumikia Mungu shetani anaweza kuingia kwako akajifanya malaika wa nuru, akakupa mahubiri ya uongo, akakupa maono ya uongo, akakupa kunena kwa lugha ya uongo, akakupa nyimbo za uongo akakufanay ajenti wake bila wewe kujua kwasababu umeshafungua milango na yupo ndani yako. anaweza hata kufanya miujiza ya ajabu kabisa na watu wakakuona kama ni mtumishi au mwimbaji, kumbe shetani ameingia ndani ya kanisa anapigana kutokea ndani.
Hii ndio imewafanay wahubiri wengi wa Mungu ambao walikuwa wazuri kubadilika, walitumiwa na Mungu, wakateleza na kufungua milango, shetani akaingia akawabadilisha kabisa namna ya utendaji. hao wanaouza mafuta, maji, na keki usifikiri hawajawahi kuokoka. Majority yao wametokea kanisa la TAG, EAGT, FPCT na mengine ya kiroho. walikuwa walokole, ila walifungua mlango shetani akaingia, akabadilisha theologia yao kabisa na wanamtumikia shetani na shetani anawapa pesa.