rabyn kiwinga
Member
- Sep 21, 2014
- 44
- 28
hhahhhah mkifika kituo kinachofata,ntaunga tela!!Kwani Beyonce mwenyewe amesemaje???
Tuanzie hapo kwanza.
hhahhhah mkifika kituo kinachofata,ntaunga tela!!Kwani Beyonce mwenyewe amesemaje???
Tuanzie hapo kwanza.
sahihi kabisa nduguMshirikina ni mtu asiependa maendeleo.......akili kumkichwa hapo
Naye ni memba wa wasafi au kolabo imemkutanisha na dimond?Ka dada flani hivi kamebrandiwa na label Kali bongo inayobeba muziki wa East Africa iliyoteka nyoyo za mashabiki wengi chini ya Nyota wa muziki Africa Diamond Platnumz
Member wa wasafiNaye ni memba wa wasafi au kolabo imemkutanisha na dimond?
Kwaiyo hiyo plagiarism scandal inamuhusisha hadi diamond au ni zuchu peke yake?Member wa wasafi
Ila najua unajua unanitisha tu hapa
Cha kufanya nendeni dm ya Beyonce kwa wingi kama mlivyofanya kwa yule mbrazil ili naye aposti ngoma ipenye hadi Marekani.Sijui ndiyo ubunifu umeisha yaani wame copy na ku paste usher Raymond alivyovaa na kufunga kitambaa, ndivyo Diamond alivyofanya kwenye hii video mpya,hadi ma dancersnimeshindwa kuileta video ya naughty girl ya Beyonce.
Zile ni suti au parachuti, yale masuti kama ya wabeba majenezaNaona habari ya WCB imekuibua,ila umewaona Cheed na Killy Konde Gang,siku hizi wanatandika suti tu.
Ah wapi ni skendo zinatengenezwa na fans tu kuponda alichofanya mwamba Ila wahusika wenyewe hawajaongeaKwaiyo hiyo plagiarism scandal inamuhusisha hadi diamond au ni zuchu peke yake?
Acha masihala hebu ona mwenyewe....................Zile ni suti au parachuti, yale masuti kama ya wabeba majeneza
Kama unaamini hivyo baki hivyo hivyo me sikulamizishi unielewewee ni ID yako, ila unaitofautisha kihivyo lol.
🤣🤣🤣🤣🤣Acha masihala hebu ona mwenyewe....................
View attachment 1571911View attachment 1571912
Ila jamaa wapo vizuri kama ulivyokuwa unasemaga wewe mwanzoni au umebadilisha mawazo kwamba leo HAWAPO VIZURI.
😀😀😀
Yamekua haya tenaaa 😆 Muacheni kijana wa watu basiSijui ndiyo ubunifu umeisha yaani wame copy na ku paste usher Raymond alivyovaa na kufunga kitambaa, ndivyo Diamond alivyofanya kwenye hii video mpya,hadi ma dancersnimeshindwa kuileta video ya naughty girl ya Beyonce.
Mbona umepaniki mzee?Zile ni suti au parachuti, yale masuti kama ya wabeba majeneza
😃😃Naww copy mkuu
Kama ukicopy ngoma inakua tamu..basi wote wacopy
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app