kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 903
Jana young killer msodoki alidondosha kichupa chake kipya ambacho humo ndani amemshirikisha msanii kutoka lebo ya WCB, cha ajabu video hiyo toka imewekwa jana usiku mpaka sasa inaongoza kuwa na dislike nyingi kuliko like.
Kitu ambacho kimeteka hisia za wengi juu ya ngoma hiyo ni upande wa comments, kwani comments nyingi ambazo watu wametupia katika mtandao huo wa YouTube zimekuwa zikimponda harmonize kuwa hakuitendea haki nyimbo hiyo, ameimba kiitikio vibaya haijawahi kutokea.
Wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa harmonize amezidi kumuiga sana boss wake mpaka imekuwa kero kwani wanashindwa kutofautisha sauti za watu hao wawili. wengine wamediriki kutupia comments kuwa wameweka dislike kwa hiyo nyimbo kwa sababu ya harmonize.
Kuna baadhi ya comments zimedai kuwa, kiitikio hiko angeimba rich mavoko basi angekitendea haki ipasavyo kuliko harmonize. mpaka sasa katika video hiyo ina dislikes zaidi ya 3,000 na likes 2,000 huku ikiwa ina views zaidi ya 100,000 ndani ya masaa 18.
Kitu ambacho kimeteka hisia za wengi juu ya ngoma hiyo ni upande wa comments, kwani comments nyingi ambazo watu wametupia katika mtandao huo wa YouTube zimekuwa zikimponda harmonize kuwa hakuitendea haki nyimbo hiyo, ameimba kiitikio vibaya haijawahi kutokea.
Wengine wameenda mbali zaidi na kusema kuwa harmonize amezidi kumuiga sana boss wake mpaka imekuwa kero kwani wanashindwa kutofautisha sauti za watu hao wawili. wengine wamediriki kutupia comments kuwa wameweka dislike kwa hiyo nyimbo kwa sababu ya harmonize.
Kuna baadhi ya comments zimedai kuwa, kiitikio hiko angeimba rich mavoko basi angekitendea haki ipasavyo kuliko harmonize. mpaka sasa katika video hiyo ina dislikes zaidi ya 3,000 na likes 2,000 huku ikiwa ina views zaidi ya 100,000 ndani ya masaa 18.