bonta ni conscious emcee.... tukianza na mti wenye matunda.... maktaba...... walaumiwa.... watu buu.... zinahamasisha vijana kuamka....kusoma....kufanya mambo ya maendeleo...kuwakumbuka wazazi na kuacha anasa.... VIVA BONTA...... nilitamani kuziweka hapa nyimbo zake lakini natumia simu sasa itakua ngumu.
Uyu jamaa nimesoma nae mzumbe tulikua tunakaa nae milambo hostel the man wala hana makuu nauwez jua kama ni mtu maarufu the way anavyo jiweka atafika mbali he is very dertemined man
Uyu jamaa nimesoma nae mzumbe tulikua tunakaa nae milambo hostel the man wala hana makuu nauwez jua kama ni mtu maarufu the way anavyo jiweka atafika mbali he is very dertemined man
Mimi nimeshakutana naye kiwanja kimoja sikumtambua kama ni yeye. Katika maongezi mengi sana ya kazi zetu ndo mshikaji wangu mmoja akanitumbalisha huyu ndo bonta,nilistaajabu sana ila nikampa pongezi.
kama pesa ni kahaba,elim ni makitaba
mimi ni graduator wa maisha siyo graduator wa darasa
inaweza kuwa laini lakini isiwe rahisi na inaweza kuwa rahisi lakini isiwe laini
wanakuzunguka ili uiname utobolewe
Uyu jamaa nimesoma nae mzumbe tulikua tunakaa nae milambo hostel the man wala hana makuu nauwez jua kama ni mtu maarufu the way anavyo jiweka atafika mbali he is very dertemined man