dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
pia kuna mack muga
Pia kuna karim
Pia kuna mshumaa
Pia kuna njiwa
Hapo ni no featuring
Pia kuna karim
Pia kuna mshumaa
Pia kuna njiwa
Hapo ni no featuring
Ila nyie watu mnajuaga sana kumpumpisha Ali,mbona nyimbo ya kawaida sana hii au ndio kum miss?Achana na hii dodo au ile wife wa dunia
Taja za wcbIla nyie watu mnajuaga sana kumpumpisha Ali,mbona nyimbo ya kawaida sana hii au ndio kum miss?
Sent using Jamii Forums mobile app
NimekuelewaAre you in your 60ish?😏
Usinishihishe this is American Eng
It's 21:40 here usingizi umenishika nisije nikaandika matusi ngoja nilale 😹Nimekuelewa
Ila hapa sijakuelewa "Usinishihishe"
Poa lala mkuu usije ukakushika kwenye mali...in daIt's 21:40 here usingizi umenishika nisije nikaandika matusi ngoja nilale 😹
Huo wimbo wa WCB ukifanana na wimbo wowote wa Kiba haki ya Mungu Diamond atakufa kwa kuchambwa, kila kona atanyooshewa kidole kuwa kacopy wimbo wa Kiba...pia kuna mack muga
Pia kuna karim
Pia kuna mshumaa
Pia kuna njiwa
Hapo ni no featuring
HahahaHuo wimbo wa WCB ukifanana na wimbo wowote wa Kiba haki ya Mungu Diamond atakufa kwa kuchambwa, kila kona atanyooshewa kidole kuwa kacopy wimbo wa Kiba...
Tuache kila msanii awe na radha yake ya muziki
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu kidogo alituliaDiamond platnumz - Ukimwona
Kiba fundi wakuandika..kwenye mpira namfananisha na ronaldinho gaucho..ana radha ya peke ake hatokuja tokea kama kiba..najua kuna watu watakunja midomo,pia kuna mack muga
Pia kuna karim
Pia kuna mshumaa
Pia kuna njiwa
Hapo ni no featuring
Mbagalapia kuna mack muga
Pia kuna karim
Pia kuna mshumaa
Pia kuna njiwa
Hapo ni no featuring
Sawa mkuu..ila hapo nitarejea na ukimuona tu