Gamba Jipya
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 401
- 80
Mkuu Willy heshima mbele sana,
Nakushauri uende Arumeru kwenye kampeni management team ya chama ili uweze kujifunza siasa za Bongo, japokuwa kuchukua jimbo lile itakuwa rahisi sana kama uzini lakini bado naamini kuna vitu viwili ama vitatu utajifunza, ili uweze kujipanga kwa 2015 kunyakua jimbo Dom, naamini utajifunza sana ukiwa Arumeru ground zero.
Natumai tuko ukurasa mmoja, katika kuendelea kumkoma nyani giladi.
Nakushauri uende Arumeru kwenye kampeni management team ya chama ili uweze kujifunza siasa za Bongo, japokuwa kuchukua jimbo lile itakuwa rahisi sana kama uzini lakini bado naamini kuna vitu viwili ama vitatu utajifunza, ili uweze kujipanga kwa 2015 kunyakua jimbo Dom, naamini utajifunza sana ukiwa Arumeru ground zero.
Natumai tuko ukurasa mmoja, katika kuendelea kumkoma nyani giladi.