AskariKanzu
Member
- Jul 25, 2025
- 38
- 146
Em tuliza munkari kwanza dada na ufaham anayeongelewa ni nani😃😃😃, uyu sio jaden smith huyu willo smith dada yake na jaden, huyu aliimba wimbo wa whip my hairJamani kutoka kwny Karet Kid mpaka kuwa hivi..
Huzuni
Huyu sio Jaden, huyu ni dada ake,Jamani kutoka kwny Karet Kid mpaka kuwa hivi..
Huzuni
Kumbee aaha nilipitiwa...ila wanafanana sana..Huyu sio Jaden, huyu ni dada ake,
Sijui kakutwa na nn jamani. Ma fav 😢😢
Ulipitiwa na nini! 😂Kumbee aaha nilipitiwa...ila wanafanana sana..
Hawa watt sijui nini kimewakumba aisee
Na hyo sura ya willo anafanana sana na Jaden kaka yake..Ulipitiwa na nini! 😂
Oh pole, ni kweli wanafanana aiseeNa hyo sura ya willo anafanana sana na Jaden kaka yake..
Maana kuna siku nimeona picha ya jaden kavaa hereni katoboa pua pia...
Mama anajusifu ujinga...unategemea nini??Hiyo family kama Ina laana hivi
Inasikitisha....Mzee wao ndo changamoto.
Hao madogo kua sawa, sijui kwakweli.
Wana mambo ya kiwaki, daily kwao ni majuto.
Wanafanana sana jamani....Em tuliza munkari kwanza dada na ufaham anayeongelewa ni nani😃😃😃, uyu sio jaden smith huyu willo smith dada yake na jaden, huyu aliimba wimbo wa whip my hair
Kakosea nini mzee wao mkuu?Mzee wao ndo changamoto.
Hao madogo kua sawa, sijui kwakweli.
Wana mambo ya kiwaki, daily kwao ni majuto.
Maisha ya umaarufu ni magumu sana mkuu, ni ya mateso sanaMama anajusifu ujinga...unategemea nini??